Melxcom991
Senior Member
- Aug 2, 2021
- 101
- 115
Wakubwa mtu akipata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza Toboa Dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daslam nenda na nguvu na akili zako mengine yote utayakuta huko daslam ndo mji pekee unaweza enda Bila hela na ukarudi tajiriWakubwa mtu akipaata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza toboa Dar??
Wakubwa mtu akipata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza toboa Dar??
Swali sio kuishi swali ni wanaishije ? Maana kuishi hata paka anaishi.Kuna watu dar hawana hata huo mshahara na wanaishi, nenda kakomae hata ikikubidi lala nje kariakoo!
Afanye kazindani ya miezi 8 afungue hata genge kubwa kama side hustling mana sisi wengine tuko dar mda mrefu na hao watu potential hatujawapata. Dunia ina watu wabinafsi sana.... jamaa apambane yeye kama yeyeHilo swali hautopata majibu sahihi Ila kila MTU Ana life path yake .
Hiyo Kazi ni stepping stones itumie kukufikisha sehemu Fulani .
Ukifika DSM jenga network na watu wenye potential , kuwa nidhamu ya pesa , kaa mbali na mambo yote negative Kama , kamali, pombe ,uzinzi n.k.
Blueprint
Afanye kazindani ya miezi 8 afungue hata genge kubwa kama side hustling mana sisi wengine tuko dar mda mrefu na hao watu potential hatujawapata. Dunia ina watu wabinafsi sana.... jamaa apambane yeye kama yeye
Mtu akiona muhitaji wa kitu flani kile kitu hakupi. Anajua akikunyima wewe itakuathiri kimawazo, kifedha, kinamna namna so anakumyima ili iwe beyond your expectation ujutie maisha yako yote kumjua. So, kwenye hatua ya kwanza ya maisha ya sasa ni kukubali kwamba si kila mtu ana roho safi. Mm nishakutana mpaka na mtanzania namba 3 mpaka leo niko kariakooYes-sema nyie watu wa Biashara mna nafasi kubwa ya kukutana watu Potential .