Zogoo da khama JF-Expert Member Joined May 20, 2013 Posts 631 Reaction score 592 Nov 20, 2015 #1 Habari zenu Naomba nipate ufafanuzi kuhusu mbunge anapochaguliwa kua waziri mshahara wake unatoka kwenye wizara aliyoteuliwa au anaendelea kulipwa na bunge? Nawasilisha kwa ufafanuzi
Habari zenu Naomba nipate ufafanuzi kuhusu mbunge anapochaguliwa kua waziri mshahara wake unatoka kwenye wizara aliyoteuliwa au anaendelea kulipwa na bunge? Nawasilisha kwa ufafanuzi
Young Warlock JF-Expert Member Joined Dec 29, 2013 Posts 328 Reaction score 111 Nov 20, 2015 #2 both wizara and bunge vinamlipa......cz ni muajiriwa wa mihimili miwili tofauti