Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yaani upo na mchepuko wako weekend anachezea simu Mara sms ya crdb ya kukudai inaingia,duhhh hatariiiiiiii,waache hizo mkopo Ni faraghaDah washamba hao njoo nmb utakuta tu wamekula Chao
Wake zetu wakiona sms za mikopo watajua tulikopa mamilioniYaani upo na mchepuko wako weekend anachezea simu Mara sms ya crdb ya kukudai inaingia,duhhh hatariiiiiiii,waache hizo mkopo Ni faragha
Kumekucha!!!!!! Bahati mbaya salary huwa haitoki siku ya Jtatu!!! Sijui ni kwa nini! 🤔 Hapo labda ni kuanzia kesho Jnne na kuendelea
Wanaweza sababisha mahusiano yavunjike,kuongezeka kwa watoto wa mitaani,hili waliangalie,dharau mbele ya mpenzi wako haifai hupelekea pressureWake zetu wakiona sms za mikopo watajua tulikopa mamilioni
Sawa mkuu ila na nyie mnatusumbua Kila mwezi kuulizia mishahara jamiiforum[emoji12][emoji12][emoji12], kwani hamjui siku au tarehe za mishahara?Sawa mkuu Ila na nyie mkuu kasema hakuna ajira inaitwa kupiga debe mkauze zabibu [emoji23][emoji23]
Ndio maana hatukuweka lock down wakati wa Corona ipo juu hapa Tz, sio watumishi u kila mtu alikuwa anapambana tusifungiwe, acha watu wategemee kile wanafanyia kazi asubuhi mpaka jioniDhana ya kimaskini sana kutegemea tu mshahara.Tena mshahara ambao hata ukiupata hauwezi kukusaidia shida zako na bado ukabaki kwa ajili ya kukutana na mshahara mwingine.We need Plan B hata ikibidi C.SUppose mlipaji akipata tatizo au kukatokea sababu yeyoye tu ya kutolipa kwa mwezi husika si ni janga hilo.
Mimi hadi tym hizi bilabilaMimi nimepokea kama saa nne hivi leo, but wenzangu wanasema hawajauona bado.
Mimi niko crdb wengine wako nmb