Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,164
- 573
Heshima zenu Jf na wapenzi wa jukwaa letu la kujitafitia ajira.
Kuna kazi nimeona imetangazwa yenye ngazi ya mshahara PUSS 13-14 sasa wadau naombeni mnijuze hiyo ni kama shs ngapi za TZ.
hiii itanisaidia kunipa mzuka wa kuomba.
natanguliza shukrani zangu
Kuna kazi nimeona imetangazwa yenye ngazi ya mshahara PUSS 13-14 sasa wadau naombeni mnijuze hiyo ni kama shs ngapi za TZ.
hiii itanisaidia kunipa mzuka wa kuomba.
natanguliza shukrani zangu