Parrot_2024
Member
- Dec 16, 2017
- 63
- 28
Habari zenu,
Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua.
Nashkuru sana
Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua.
Nashkuru sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajuwa approximate inaweza kuwa ngp?Bodi zote saiv hazina kitu jombaa
Habari zenu,
Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua.
Nashkuru sana
Ndo imefufuliwa na serekali ametuliwa mkurugenzi mpya angalia mtandaoni news ya mkonge utaionaHii bodi bado ipo? Toka afe Shamte mahabusu nilidhani nayo ilizikwa nae; si alijibinafsisha hiyo bodi enzi za Mkwere waliyekuwa nae ubia!!!
Nashkuru...unajuwa inaweza ikawa ngpBodi huwaga hawana baya kwenye salary posho na marupurupu mengine ...
Na ukiwa mtaalam wakuandika madokezo utakula pesa adi uzikimbie...
Kama umepata mzee usirembe nenda fastaa....
Nduguzngu naomba anayejuwa mshahara yao ya bodi ya mkonge anambieHabari zenu,
Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua.
Nashkuru sana
Kwani umeambiwa Kuna nafasi huko mbona hatuambiani mkuu..?Nduguzngu naomba anayejuwa mshahara yao ya bodi ya mkonge anambie
Hpna bado haijatoka nafasiKwani umeambiwa Kuna nafasi huko mbona hatuambiani mkuu..?
Sasa mbona unaulizia sana?Hpna bado haijatoka nafasi
Sasa mbona unaulizia sana?
Mhh jmn kuuliza kitu ili mtu ajuwe ni dhambi? Ni kwmba mkonge imefufuliwa kwa hyo lzma kutakuwa na ajira kwao mbeleniSasa mbona unaulizia sana?
Ndefu mzee kibongo bongo.... ukisikia posho zinatafunwa basi ni kwenye mabodi ayo ... nights za kujipimia....Nashkuru...unajuwa inaweza ikawa ngp