Mshahara wangu mdogo, nifanyeje?

lufumbula

Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
22
Reaction score
0
Haloo,
Nina mshahara mdogo sana pale ninapofanyia kazi nina mke pia, nafanya kazi from sa 7:00 to 5:30 jion, mshahara wangu ni laki mbili tu kwa mwezi, nifanye biashara gani japo nijikimu kidogo au niitumieje ile pesa ili niweze pata ukaji vizur, ila ndio zangu ni kununua bodaboda au bajaji ya kubeba watu, nianze vip? Hapa kazini nina mda wa miezi mitano, ushauri tafadhali
 
Kwa siku unatumia sh ngap mkuu:what:
 
Nipo mjini,natumia 1500/ mpaka 2000/ na wakati mwngne natumia mpak 3000/
 
Sijajua unaishi katika mazingira gani. Nakushauri umuwezeshe mkeo angalau hata kwa mtaji mdogo, ili naye aweanajishughulisha na biashara ndogondogo.
Mfano hapa ninapoishi kuna mama amepanga meza ya nyanya, vitunguu, mboga za majani nk, lakini kuna wengine muda wa asubuhi wapo wanao pika chapati na maandazi. Tunawanunuza hela wanapata.
 
Muda ulikaa kazni ni mdogo sana kwa kuanza kulala mika ila kwa mshahra wa lak 2 ni mdogo pia kwa mazngra ya mjini

cha muhmu muwezshe mkeo kwa kiasi kidogo then uangalie itakuwje
 
Thanx,mi nipo tabora,kwa wale wanaoujua huu mji vizuri ni busness gani naweza anzisha,na ikaingza kidogo dogo,malengo ya mke wang alisema anataka fan yyte hasa fund wa chelehan,nilijarbu kuongea na walim wakadai 10'000/kq mwez, sasa sjuw nianze na ip kimeza au? Naomba mnisaidie jamani
 
Hakuna biashara rahisi ya kumkomboa mtu wa kipato cha chini kama ufugaji wa kuku wa kienyeji.Pitia humu ndani utapata uhondo wote.
 
Uko sawa kabisa BALALE ila kumbuka hapa nipo mjini kabisa ni mm hapa sio mwenyej hata ndugu sina hapa,kwamba ntafuga kuku eneo litakuwa mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…