hapo kaka am not concerned
Uhasibu mkuu
chifu hapo ndipo kuna utata kiukweli kabisa wapo wenye diploma ambao wanalipwa kwa kima cha TGS C1 ambayo ni 410000 na wapo wanaolipwa kwa kima cha TGS B1 ambayo ni 311000Jamani diploma tunaanzia na TGS C1 ambayo ni kama 350000/= take home! Hii ni kwa idara ya kilimo na mifugo.
vipi kwa diloma ya civil engineering na water supply
na water resources engineering