Mshamba Ebitoke aingizwa kweli mjini, atumika na kutupwa

Hiyo ni feki wameseti kiki. wataalam wa saikolojia angalieni facial expression ya ebitoke na the way she talk unaona kabisa kuwa wamefeki kwa ajili ya kiki tu.
 
Hiyo statement take. "Nimempa kila kitu"
Duuh maana anablame naam hii itakuwa katoa hadi tigo huyu mdada..
Pale yake
Mmmmm ina maana we kumpa kila kitu mtu unatoaga.......labda amemuhonga na viela vyote kwene account
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Aise yule demu falaa sanaa...alimpa benpol akalaaa wee akaja akampa mlela buree akagongaa weee saa hizi analia tu
Si ni bora yeye tumejua wawili tu, ambao sio mastaa tunabadili kila siku na akuna wa kutuesabia tunahesabia mioyoni mwetu je?
 
Mapenzi ni kitu cha ajabu, what do you love in that untidy scrap?
 
the problem is falling in love to begin with. binti atatoa kila kitu thinking no more guys for her, matokeo yake analiwa kiboga tu wahuni wanatafuta chimbo nyingne.

A lesson learnt..
 
Mimi nahisi hii nayo ni kiki kama ilivyokuwa kwa Ben sidhan kama ni ukwel.
 
Siamini kama watu wameingia mkenge kwa Kiki ya kijinga kama hii? Na kuna mamburula wanaamini ebitoke na huyo benpol walikuwa na mahusiano kumbe Kiki tu na benpola akunja mtonyo vizuri tu,bongo kuwa maarufu simpo sanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…