raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Huu msimu nilimvulia kofia alirudi na hatrick kama tatu hivi kufidia mechi alizofungiwa π jamaa anajua sema utukutu tu ulikuwa unamsumbuaSuarez jamaa sio wa kusubiri mipira ni msumbufu kwa mabeki na akupa options nyingi katika kumtumia .
Nakumbuka kuna msimu EPL alifungiwa mechi 10 lakini akarudi na kuubuka kidedea kwenye mbio za ufungaji bora.
Umemaliza.Naenda na Luis Suarez el pistorero!
At his prime, hakuna alieweza kumfikia kati ya hao. Hiyo ligi ya EPL wanayosema ni ngumu, aliwanyoosha wakanyooka.
Suarez atafunga kwa kuvizia ndani ya box, atafunga kwa kukokota tokea katikati, atafunga kwa kukokota kutokea pembeni. Atafunga mabeki wakiwa wamemsahau, atafunga akiwa amezungukwa na mabeki.
Mwisho kabisa, anajua kucheza na saikolojia. Ushindi ukiwa mgumu, Suarez atakutafutia penalty kwa kujiangusha in a very strategic way ndani ya box. Muda wote anawasumbua mabeki.
Naenda na Suarez mazee!
Kumbe kuna wakati dish haliyumbi kipindi cha mvua..Madridista here ila Suarez analijua goli bhana. Anaweza akaangalia goli lilipo kabla hajapokea pass na akipokea akafunga wakati ameshahama position wakati anafanya makadirio. Jamaa ni pure no 9 anayekupa nafasi hata kumchezesha kutokea pembeni.
Alikuwa akikutana na Norwich anajipigia hat trickHuu msimu nilimvulia kofia alirudi na hatrick kama tatu hivi kufidia mechi alizofungiwa π jamaa anajua sema utukutu tu ulikuwa unamsumbua
[emoji23][emoji23] wewe ukiambiwa ukweli unaona wenzako dish limeyumba ila ule utumbo unaoandikaga huoni kama ni uchafuKumbe kuna wakati dish haliyumbi kipindi cha mvua..
Umewatazama ktk ubora wao wote? Lewandowski ni mtu mwingine, wa kumzidi hapo labda angekuwepo Kunkun Aguero.1.Zaltan Ibrahimovic
2.Zaltan Ibrahimovic
3.zaltan Ibrahimovic
4.benzema
5.Suarez
6.Bob
Sababu ni hii mwamba ana energy ana skills anafunga magoli ya Sina yeyote
Kwenye finishing, nakubaliana na wewe. Lewandoski yuko very clinical. Nafasi tano atakazopata, nne anatia kambani. Shida ya Lewandoski, hana vitu vingi vya kuoffer tofauti na kufunga.Umewatazama ktk ubora wao wote? Lewandowski ni mtu mwingine, wa kumzidi hapo labda angekuwepo Kunkun Aguero.