ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Haya mambo bwana tushakuzoea Sana unajua tusemeni ukweli katika Watu wazuri Sana me naamini Mshana amesaidia Watu Wengi na ameathiri iman uelewa na akili za Wengi Sana na tunamkubali.
Misimamo yake ndo yenye nguvu Sana Ana post zenye kufikirisha lakini kwa wale wanaojifanya wajanja na wanafki huwa hawamkubali.ila kwa binadamu haswa wenye utu bila mshana kunapoa Jamiiforum unajua kwa sisi VIJANA wa Jf mshana Ni Kama mzazi in front of us.
Mshana ni Mshana tu na maadui zake tunawajua ila fresh brother we piga Kazi zako vema utakuwa busy Sana au Kuna jambo limetokea maana ..Imani Bora Ni ile kujitoa Kama yesu na hauhitaji gari ama pesa kumuona MUNGU Bali Moyo Safi wa kuvumilia yote.shikamoo popote usomapo thread hii
Misimamo yake ndo yenye nguvu Sana Ana post zenye kufikirisha lakini kwa wale wanaojifanya wajanja na wanafki huwa hawamkubali.ila kwa binadamu haswa wenye utu bila mshana kunapoa Jamiiforum unajua kwa sisi VIJANA wa Jf mshana Ni Kama mzazi in front of us.
Mshana ni Mshana tu na maadui zake tunawajua ila fresh brother we piga Kazi zako vema utakuwa busy Sana au Kuna jambo limetokea maana ..Imani Bora Ni ile kujitoa Kama yesu na hauhitaji gari ama pesa kumuona MUNGU Bali Moyo Safi wa kuvumilia yote.shikamoo popote usomapo thread hii