iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
Kuna maneno ya me na ke ee[emoji15]Hiyo tittle haijakaa kama imeandikwa na mwanaume, kama wewe ni wakiume lakini. Sina maana mbaya ila hiyo 'jamani' sioni kama imekaa vizuri kwa wanaume kuandika kama hivyo
Kuna maneno ya me na ke ee[emoji15]
Mkuu huyo kishakua brainwashed.Hana lolote huyo mshana ni muongo wa kutupwa
Wajinga ndio waliwao..!!Napenda sana jamii forum lakini ndugu yangu Mshana , topic zake zinanifanya nitake kujua mengi kuhusu jamaa, je ndugu yangu mbona umebase kwenye mambo ya kuzimu , uchawi nk ,? Post zako binafsi naziogopaga wallah. Siku njema wadau
Kwa uoga huo utakuwa Mwanaume wa Dar wewe...!!Napenda sana jamii forum lakini ndugu yangu Mshana , topic zake zinanifanya nitake kujua mengi kuhusu jamaa, je ndugu yangu mbona umebase kwenye mambo ya kuzimu , uchawi nk ,? Post zako binafsi naziogopaga wallah. Siku njema wadau
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hiyo tittle haijakaa kama imeandikwa na mwanaume kama wewe ni wakiume lakini, Sina maana mbaya ila hiyo 'jamani' sioni kama imekaa vizuri kwa wanaume kuandika kama hivyo
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji30] [emoji30] [emoji3]Vitabu au ana google sana some santeria stuffs ,, all this vodoo stuffs he shud go visit Haiti , free citizenship for mshana
Google can't give you the whole load remember thatVitabu au ana google sana some santeria stuffs ,, all this vodoo stuffs he shud go visit Haiti , free citizenship for mshana
Siyo kama najiuza. Ila watu wananisumbua sana PM.
Kupitia post za mshana jr mie najifunza mengi sana, Mkuu Mshana Jr usikate tamaa kutuelimisha kwa sababu ya haters wachache mungu akujalie maisha marefu uendelee kutuelimisha, good day mkuu
Good night @hebieKupitia post za mshana jr mie najifunza mengi sana, Mkuu Mshana Jr usikate tamaa kutuelimisha kwa sababu ya haters wachache mungu akujalie maisha marefu uendelee kutuelimidha, good day mkuu
GENTAMYCINE ndani ya nyumbaMkuu huyo kishakua brainwashed.