Mshana Jr post zako zinatisha kufungua

iamwangdamin

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
864
Reaction score
1,798
Napenda sana JamiiForums lakini ndugu yangu Mshana , topic zake zinanifanya nitake kujua mengi kuhusu jamaa. Je, ndugu yangu mbona umebase kwenye mambo ya kuzimu , uchawi nk?

Post zako binafsi naziogopaga wallah.

Siku njema wadau
 
Hiyo tittle haijakaa kama imeandikwa na mwanaume kama wewe ni wakiume lakini, Sina maana mbaya ila hiyo 'jamani' sioni kama imekaa vizuri kwa wanaume kuandika kama hivyo
 
Wewe ukiziona pita tu.. Usianze kuzichokonoa chokonoa... Kuna wapenzi wake... Nikama mimi nianze kukuambia utest umeme kwa ulimi.
 
Hiyo tittle haijakaa kama imeandikwa na mwanaume, kama wewe ni wakiume lakini. Sina maana mbaya ila hiyo 'jamani' sioni kama imekaa vizuri kwa wanaume kuandika kama hivyo
Kuna maneno ya me na ke ee[emoji15]
 
Napenda sana jamii forum lakini ndugu yangu Mshana , topic zake zinanifanya nitake kujua mengi kuhusu jamaa, je ndugu yangu mbona umebase kwenye mambo ya kuzimu , uchawi nk ,? Post zako binafsi naziogopaga wallah. Siku njema wadau
Wajinga ndio waliwao..!!
 
Napenda sana jamii forum lakini ndugu yangu Mshana , topic zake zinanifanya nitake kujua mengi kuhusu jamaa, je ndugu yangu mbona umebase kwenye mambo ya kuzimu , uchawi nk ,? Post zako binafsi naziogopaga wallah. Siku njema wadau
Kwa uoga huo utakuwa Mwanaume wa Dar wewe...!!

Mbona anayoyaandika ni ya kawaida tu...Ukiamua kuushughulisha Ubongo wako hata wewe unaweza ukawa unatuletea mambo kama ya Mshana.

Nimemsoma mshana ni mtu anayesoma sana Vitabu.
 
Vitabu au ana google sana some santeria stuffs ,, all this vodoo stuffs he shud go visit Haiti , free citizenship for mshana
 
Hiyo tittle haijakaa kama imeandikwa na mwanaume kama wewe ni wakiume lakini, Sina maana mbaya ila hiyo 'jamani' sioni kama imekaa vizuri kwa wanaume kuandika kama hivyo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Vitabu au ana google sana some santeria stuffs ,, all this vodoo stuffs he shud go visit Haiti , free citizenship for mshana
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji30] [emoji30] [emoji3]
 

And then kill them with deadly silence to make them more furious[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Vitabu au ana google sana some santeria stuffs ,, all this vodoo stuffs he shud go visit Haiti , free citizenship for mshana
Google can't give you the whole load remember that
 
Kupitia post za mshana jr mie najifunza mengi sana, Mkuu Mshana Jr usikate tamaa kutuelimisha kwa sababu ya haters wachache mungu akujalie maisha marefu uendelee kutuelimidha, good day mkuu
Good night @hebie
To be stronger you need followers but to be the strongest you need HATERS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…