Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Mkeo asikupelekesheee tafadhali[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mpenzi ndugu zangu itabidi tuwafunge speed gavana
Vumilia tu, maana mimi ndio chaguo lako...[emoji39] [emoji39]Ama kweli, nilizoea kuona kupatwa kwa jua na mwezi, sasa leo nimepatwa mimi [emoji12]
Vuta subira soon utamjua.Ngoja nimshinikize aje kunifungulia thread humu kama walivyofanya wenzake mshana jr na Mwifwa, akikataa natoroka kwenye ngome aliyonitekea [emoji1] [emoji1] [emoji1]Missing you too dia,
Nani kakuficha jamani?
Kwa hesabu ya haraka haraka, mko kama 43 hivi [emoji4] [emoji4] [emoji4]Kwani umetutega wangapi humu?
moneytalk [emoji23] [emoji23]Wewe subiri manyoya tu maana makali yako yashapungua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
SawaWifi yako huwa anapenda ni manage vzuri pesa ndio maana unaona ana check na kubalance hapa.
Ila ana elewa nyie watu wa muhimu
Lakini mylove hao wa chipsi na kuku wanakuwa walaghai sana.Kwani wewe hutaki shemeji mpenzi wangu?
Embu waachie uhuru wenye uwezo wao, au wataka wifi yangu azeekee nyumbani kwa kujifanya unamjali sana?
Wifi yako huwa anapenda ni manage vzuri pesa ndio maana unaona ana check na kubalance hapa.
Ila ana elewa nyie watu wa muhimu
Mbona mipango yenu ya familia mwaipangia sebuleni?Kwani wewe hutaki shemeji mpenzi wangu?
Embu waachie uhuru wenye uwezo wao, au wataka wifi yangu azeekee nyumbani kwa kujifanya unamjali sana?
Jaman mumvumilie wifi yenu jamanMkeo asikupelekesheee tafadhali
HahahahaVuta subira soon utamjua.Ngoja nimshinikize aje kunifungulia thread humu kama walivyofanya wenzake mshana jr na Mwifwa, akikataa natoroka kwenye ngome aliyonitekea [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ahahahahahahahah mpaka apate wa uhakika jamaniKwani wewe hutaki shemeji mpenzi wangu?
Embu waachie uhuru wenye uwezo wao, au wataka wifi yangu azeekee nyumbani kwa kujifanya unamjali sana?
Asiyekuwa na wivu hana mapenzi, kwahiyo naomba ushushe matumizi. Matumizi yako yapo juu sana kulingana na kipato cha mume wangu, mnamfanya mpenzi wangu anashindwa kujulikana kama ni kijana au mzee kwa stress za kutaka kuwaridhisha ndugu zake wakati kipato chake ni kidogo.Mi ndugu yake acha nile tu we umekula vingi mi mara moja moja inakuuma,wakati tupo wadogo akipigwa namsaidia ulikuwepoo,nna haki zote mimi acha wivuu Ney
Unajitahidi kumanage pote we mume mzuri kweliJaman mumvumilie wifi yenu jaman
Huyo ndio roho yangu mwenzenu
Na mpenzi wangu, Yaani hawa ndugu zetu wametushinda tabia. Lakini baby embu jaribu kuwaambia ukweli kuhusu kipato chako labda itasaidia kidogo ujue wanadanganywa na huo umaridadi wako kumbe umaridadi huficha umaskini.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mpenzi ndugu zangu itabidi tuwafunge speed gavana
Usjali mylove leo nlimpa ofa kwakuwa ana umwa tuAsiyekuwa na wivu hana mapenzi, kwahiyo naomba ushushe matumizi. Matumizi yako yapo juu sana kulingana na kipato cha mume wangu, mnamfanya mpenzi wangu anashindwa kujulikana kama ni kijana au mzee kwa stress za kutaka kuwaridhisha ndugu zake wakati kipato chake ni kidogo.
Embu usiwe mbinafsi wifi yangu hata auntie zako hawajala hizo chips kuku mwaka wa tatu huu kisa babayao kapatwa na anguko la kiuchumi, kwanini wewe hutaki kutuelewa? [emoji26]
Sasa hao kina aunt wamenikuta huoni mmeo alivyokubali haraka, na hata sizili kula vya kaka yangu ,we wifi wewe mimi najua ndugu yangu si haba itakuwa anakuona mchoyo ndio maana anakubania,utuwacheeeeAsiyekuwa na wivu hana mapenzi, kwahiyo naomba ushushe matumizi. Matumizi yako yapo juu sana kulingana na kipato cha mume wangu, mnamfanya mpenzi wangu anashindwa kujulikana kama ni kijana au mzee kwa stress za kutaka kuwaridhisha ndugu zake wakati kipato chake ni kidogo.
Embu usiwe mbinafsi wifi yangu hata auntie zako hawajala hizo chips kuku mwaka wa tatu huu kisa babayao kapatwa na anguko la kiuchumi, kwanini wewe hutaki kutuelewa? [emoji26]
We kaka yangu ice ana heraaaaa usibaneNa mpenzi wangu, Yaani hawa ndugu zetu wametushinda tabia. Lakini baby embu jaribu kuwaambia ukweli kuhusu kipato chako labda itasaidia kidogo ujue wanadanganywa na huo umaridadi wako kumbe umaridadi huficha umaskini.