Hahahaha[emoji23]Naona account mpya ya Hizbu Sharifu imekuja kwa kasi tofauti na Mshana Jr huyu Hizbu anafunza watu kumbana na uchawi wakati Mshana JR alikuwa na mastory ya kutisha.
Kuna haja ya kufungua jukwaa la viringe humu ndani.
USSR
Yaani mtani leo uko namimi[emoji1787]Sawa