Piga nyingine kama hiyo ila ambayo uko na miwaniii mkuu..View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Asante sana kwa Wema ulionifanyia, kwa kutambua kwamba mdogo wako mitihani niliyonayo inanitosha.Hangaika na huo huo tu.
.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Nitachukua id za babes zangu nije kukupigia kura[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa mvumilivu muda bado,kuna watu najua watafanya mapinduzi
Energy drink na konyag kuna binti wa mtu anaenda kutumika... [emoji23] [emoji23]
Asante sana kwa Wema ulionifanyia, kwa kutambua kwamba mdogo wako mitihani niliyonayo inanitosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaweza kumshinda shehe Yahaya [emoji1019] kwa utabiriEnergy drink na konyag kuna binti wa mtu anaenda kutumika... [emoji23] [emoji23]
Hii Nyagi ndo maana wanaikataza Zambia.. [emoji23] [emoji23]
Jecha ndio nini?Sawa Jecha katika ubora wako.
Nitachukua id za babes zangu nije kukupigia kura[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unamficha eeeh...[emoji29] Ungesema honey wangu kampendekeza binamu yake... Napata mashaka.
Ni wivu tuu, ni wivu tuu, usiogope[emoji23]Maliza kwanza hiyo, halafu hivi inakuwaje nakuwa na wivu na mdogo wangu wa kike?
Ni wivu tuu, ni wivu tuu, usiogope[emoji23]