Sijui kwanini mtu ukiachana naye ndiyo anaanza kunoga..View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Kuna makundi na chuki binafsi humuIngekuwa ID mpya ingekuwa
'Humu siyo fb'
'Waambie mods wakuondolee picha unajichoresha'
'Acha utoto humu ni GT only'
'Hayo mambo peleka insta'
'Shushushu kazini'
'Umetumwa?'
Mkuu umeamua ku-break the internet
Inabidi alipie hili tangazo,Waganga wote sijui kwa nini wanapenda sana totoz
Ingekuwa ID mpya ingekuwa
'Humu siyo fb'
'Waambie mods wakuondolee picha unajichoresha'
'Acha utoto humu ni GT only'
'Hayo mambo peleka insta'
'Shushushu kazini'
'Umetumwa?'
Mkuu umeamua ku-break the internet
Kuna makundi na chuki binafsi humu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naunga mkonyo hojaMshana Kwa hayo macho utakua una kaudugu flani na Mr. Liquid.
Mkuu uko maeneo hayo?
Sogea kwa Jofu hapa
Hajaambiwa hivyo kwasababu moja tu....sio mgeni,anajua kila kitu kuhusu humu
Wageni wanaambiwa hayo kwa manufaa yao,huwenda hawajui how JF works
Kabisa hili linajidhihirisha
Inakaaga W [emoji23][emoji23][emoji23]pa wazee penye utulivu
Yes. Hata muda huu nipo hapa.