Mshana ukipona na hili la takwimu za udini we kiboko

Nani kakwambia zinatumika ktk teuzi; uteuzi ufanyanyikao no kutokana na elimu na weledi wa mtu. Muwe mnachuja na anavyowamezesha ponda
 
Hii inaonesha ni jinsi gani kituo cha television cha serikali (ukweli na uhakika) kinavyochakachua habari

kwani si ni hawa hawa TBC waliozibaka taarifa wakati wa kampeni za uchaguzi wakitoa zile wazipendazo ha ha ha ha TBC1
 

Hii issue kuigeuza kuwa ni ukorofi wa waislam wachache
ndio walipokesea....
funny hata Makanisa yamekaa kimyaa
while na wao inawahusu pia
wanahitaji kujua idadi kamili ya waumini wao..
 
Hii issue kuigeuza kuwa ni ukorofi wa waislam wachache
ndio walipokesea....
funny hata Makanisa yamekaa kimyaa
while na wao inawahusu pia
wanahitaji kujua idadi kamili ya waumini wao..
The Boss unapotoka, Kanisa halina haja na wala halihitaji takwimu za dini kwa kutegemea kuhesabiwa wahumini wake na serikali, kanisa liko bize kuongeza idadi ya vyuo vikuu na mahospital na siyo hizi habari za kufikirika.



 
Bia tamu kuliko siasa.
Drink beer and you will be realaxing. Practice politics and you will be spoiled

You are right bujibuji. Ila bia nazo zimepanda bei sana, we unanywea wapi?
 
Hii issue kuigeuza kuwa ni ukorofi wa waislam wachache
ndio walipokesea....
funny hata Makanisa yamekaa kimyaa
while na wao inawahusu pia
wanahitaji kujua idadi kamili ya waumini wao..
The Boss. Kanisa Katoriki, nalolichukia sana, lina records za waumini wake very detailed kuliko records za Familia binafsi ya Kikwete zilipo Ikulu. trust me.
 
Hii inaonesha ni jinsi gani kituo cha television cha serikali (ukweli na uhakika) kinavyochakachua habari

hapa mimi sijaona tatizo, nashangaa kwanini waliomba radhi!, takwimu hizo unaweza kuzipata sehemu nyingi tu, hata kwenye tovuti ya wizara ya maliasili na utalii zipo, kunatatizo gani kuzitangaza?, nadhani TBC wangetoa sosi ya taarifa kwasababu kutoa taarifa ndiyo kazi yao. Hapo kosa ni nini? Na udini uko wapi?!.
 
Kwani tbc1 imesemaje kuhusu ratio hiyo ?mimi sijaiona naomba mnipe updates alafu nasikia wakatoliki pia wanadata za idadi ya wakristo na waislamu na pia shekh mkuu mmoja sijui mufti alitaja kwa asilimia kuwa waislamu ni wengi kuliko wakristo. Mi naona tutafute average ya ile taarifa ya tbc1,wakatoliki na ile ya kiongozi wa waislamu then to close hii topic kwani haina faida
 
In my opinion.......kipengele cha dini kilikuwepo katika sensa kipindi cha wakoloni kutokana na principle ya divide and rule....kwani pale kundi fulani linapokuwa kubwa na kuatarisha maslai yao unaweza ukalishawishi kundi jingine lisifungamane nalo....kwa wao kipengele cha dini kilikuwa na umuhimu huo....kwa sasa mi nadhani kuwa hakina umuhimu wowote kwani hata tukushajua idadi yao then hizo information zitasaidia nini katika kuleta maendeleo.

ila kwa kitendo cha taasisi y umma kama tbc kutamka hizo statistics information hilo ni kosa na inabidi wawajibishe

kwa taasisi za dini wao wanaweza wakajihesabu wao wenyewe....na kujua hilo halina tatizo......

mi nadhani kuna mambo ya muhimu yanayolikabili taifa letu hii si ajenda ya muhimu sana
 

Watakufa na utapia mlo .kati ya kumi watabaki wawili
 
Nimependa argument yako mkuu.Very excellent.Enzi hizi tunataka vichwa kama nyie.Cyo kila kitu Ndio mzee.Ujinga mtu...u.
 

Nashukuru kwa jibu lako la kitaalam.

Lakini bado sikubaliani na hiyo confidence interval yako maana number za waislam zinategemea population census na hiyo haijafanyika miaka mingi, kwahiyo labda ungeongeza hiyo rejection region ifikie angalau 5% tungeelewana.
 
Huko ni kutafuta majibu mepesi kwenye maswali magumu. Hebu angalia kwanza chama chako CCM bara. Hivi kuna idadi sawa ya wabunge waislamu na wakristu? Jibu: hapana. Inawezekana vipi wabunge wengi wakawa wakristu kupita waislam? Jibu: walijitokeza wengi kwenye mchakato wa kugombea ubunge na waliweza kupenya. Kwanini kuna mawaziri/naibu wengi wakristu kupita waislam ? Jibu mwenyewe...
Unapozungumzia uteuzi katika ajira/uongozi serikalini ni lazima uangalie mambo mengi nyuma yake, siyo kutazama matokeo tu ukaanza ku conclude.
Jitokezeni wengi kwenye elimu, kutafuata ajira, kugombea nafasi za uongozi za chama nk. tuone kama hamchaguliwa kwa wingi.
Mimi binafsi haijalishi kiongozi wangu ni muislam au mkristo, as long as anafanya anachotakiwa kufanya mimi kwangu ni pouwa tu.
 

Mkuu,

This issue of linsisting that the question of religion to appear in the dodoso la SENSA would result in practice of listing religious group as MAJORITY & MINORITY communities which is very dangerous for our peace and tranquility which we have been enjoying for quite a long time and we should discourage as it will promote divisive tendencies to weaken the nation.

The goal of our Constitution was to create social conditions where there was no need to shield or protect right of Minority or Majority communities. All people are equal( Katiba ya JMT Sehemu ya Tatu, Usawa wa binadamu-HAKI NA WAJIBU MUHIMU soma 12. (1) hadi (5)).

In the Constitution, no Section or distinct group of people can neither claim to be in MAJORITY nor MINORITY. If we encourage this altitude, all so called MINORITY/MAJORITY among Tanzanians, many of them will claim such status because of their number and will expect protection (Favors) from the Government on the ground that they are backward/well advanced". If each group felt afraid of the other group, an atmosphere of Mutual fear and distrust would be created, posing serious threat to the integrity of our nation leading to sowing of seeds of multi-nationalism.

Encouragement to such fissiparous tendencies would be a serious jolt to the secular structure of our Constitutional democracy so We should guard against making our country akin to a theocratical state based on multi-nationalism.

Nawasilisha.
 

I am glad you did not mince words vaguely a la "hatujali dini" etc. You hit the nail on the head regarding the real reason behind the decision.

This argument is fallacious, controlling, manipulative, totalitarian and deceptive.

It is fallacious because, not providing census figures does not help anything in making the disenchanted -let's face it, mainly Muslims- feel any better.It actually may make things worse by giving them ammunition to say "This is the evidence of an organized conspiracy against Muslims".

It is controlling in a bad way because it treats Tanzanians like children who need to be protected from themselves.

It is manipulative because it obscures the real reasons behind it.No government official has asserted the reason you cited above as crisply as you did.

It is totalitarian because it does not provide people what they want.

It is deceptive because it attempts to hold the interests of Tanzanians at heart while in truth it is rooted in the Communist idea of undermining religion and making the state everybody's religion.

Furthermore, it invokes "national security" in vain, not very much unlike this sacred cow was invoked to shroud the Meremeta deal in some state secrecy.


This is another faulty argument. Just because the government can allow the question of religion to be in the census, this does not mean that it must follow that this would impose religion based quotas.

We can have the question regarding religion in the census and reject religious quotas.

To think that everybody who wants to know the number and distribution of people by religion in Tanzania has intentions to use this data maliciously is a failure of imagination. I have cited the example of academicians delving into data to research the link of religious affiliation to population growth, this information plays hugely in influencing government policy. You have not addressed such concerns so far.

I am not Muslim. I am atheist.You would think by the nature of my lack of faith I would support the government in it's stand. But no. I happen to love statistics and data. And I want the government to include this question. That does not mean I have a bad intention.


Again, you are assuming things that are not there already.

Undoubtedly, there are people who will go astray. But this is no justification to set a "mtego wa panya utakaokamata waliotakiwa na wasiotkiwa". Do not punish the academicians who want this data for research purposes just because some people want to use this data maliciously.

The government does not ban driving because some drivers will hit and run. This will be retrogressive. It allows driving and those who attempt to hit and run will be dealt with according to the law. What is so difficult about letting the law follow it's course?

Is the government afraid of it's own subjects?

Encouragement to such fissiparous tendencies would be a serious jolt to the secular structure of our Constitutional democracy so We should guard against making our country akin to a theocratical state based on multi-nationalism.

Nawasilisha.

Encouragement of the obvious and uncalled for infringements on the right to know would be a serious jolt to our Constitutional democracy.

I repeat.

Even if the census figures have a potentiality for malicious use.

Give me a bad truth (numbers that would potentially cause trouble but equally benefit academicians) over a good ignorance ( no numbers for fear of a religious split).

Have you no faith in Tanzanians ability to reject the shady versions of religious shenanigans? Why do you want a nanny state that treats it's subjects like little children in Tanzania?
 

Mkuu,

Tupo sawa Mkuu, but I am opposing the question of religion in 2012 Census because the data will be used to justify religious privilege in State policy on Public services. Also you should keep in mind that with the Census data on religion, all of the questions would not be resolved automatically.
 
Mkuu,

Tupo sawa Mkuu,

Hapana mkuu, hatupo sawa. Wewe una oppose swali la dini, mimi nali support.

but I am opposing the question of religion in 2012 Census

Exactly why hatupo sawa, this is a big distincion. Do not relegate it as a mere "but". This is the core question of the thread!

because the data will be used to justify religious privilege in State policy on Public services.

I can't quite understand this "Guilty until proven innocent" attitude.

Umeona mfano wangu wa juu hapo? Kwa nini serikali isipige marufuku kuendesha magari kwa sababu kuna ajali? This is a retrogressive argument.

Kama kuna watu watataka kutumia hizi data kwa ajili ya privilege, wakatalieni, wafanyieni expose, washughulikieni.

Kwa nini mnatega mtego wa panya unaokamata waliokusudiwa na wasiokusudiwa? Kwa nini mnawanyima academicians na researchers data muhimu kwa woga wa serikali kuogopa kivuli chake yenyewe?


Also you should keep in mind that with the Census data on religion, all of the questions would not be resolved automatically.

Of course nothing resolves nothing automatically, it is against the laws of physics.

Ila, census data zitasaidia sana kupata a somewhat more reliable starting point ambayo hatuwezi kupiata sehemu yoyote nyingine in a manner that will even approach this level of fundamental comprehensive scope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…