Gari yangu aina ya Premio old model inatumia engine 7A nikiwa katika masafa marefu nikifikisha speed zaidi ya 120km/hr mshale wa speed unashuka gafla mpaka zero halafu inawasha Overdrive inanilazimu nipaki pembeni nizime gari halafu niwashe tena ndo inarudi kwenye hali yake. Naomba msaada wapendwa kama kuna mtu humu au mtaalam aliwai kukutana na tatizo kama hilo.