Mshauri wa kuku wa nyama,

MMOJA

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
445
Reaction score
259
Habari Wadau,
Ninataka nianze kufuga kuku wanyama(Broiler), kwa iyo nilikua nahitaji mshauri wa karibu wa kunishauri jinsi ya kuendesha ufugaji ili kuepuka hasara itakayoweza kujitokeza kwa kutokujua,
Kwa maana nyingine nahitaji 'mentor' katika ufugaji wa broiler,
Kwa aliye tayari kunisaidia napatikana kibaha
Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…