Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Jamani naomba kujua mshenga anatakiwa awe na vigezo gani maana kuna mtu mmoja aliniomba eti niwe mshenga wake nikakataa kwa kujua kuwa mshenga anatakiwa awe ameoa.....
Wale ambao mmewahi kuwa washenga naomba mnipe sifa za mshenga ili muda wa kutafuta mshenga nisipate taabu na ikiwezekana huenda nikapata hapahapa JF!!
Wale ambao mmewahi kuwa washenga naomba mnipe sifa za mshenga ili muda wa kutafuta mshenga nisipate taabu na ikiwezekana huenda nikapata hapahapa JF!!