nimekusikia mydr,ila nimepewa somo kwa ukali dah!nimehs fimbo inaninyemelea,btw mbona hunipi progress???????
Sio utani ni katika kujua, maana sijui a wala be ya ushenga. Vipi baba mzazi nae anafaa kuwa mshenga au hairuhusiwi?
Ha ha ha unamwaga mchele kwenye kuku wengi???
Naaaaam!!!!
Pamoja na maadili lakini ni muhimu kuwa kabila la mwanamke watamwambia alete mbegu za bangi (kwa shemeji zangu wakurya) anabaki kushangaa lazima ajue mila zao bana wewe vipi subiri muda wako ukifika
hahaha,,hivi mf,katavi hawezi kuchukua mshenga wa jinsia yetu ili tujitolee,au haifaagi?
Jamani naomba kujua mshenga anatakiwa awe na vigezo gani maana kuna mtu mmoja aliniomba eti niwe mshenga wake nikakataa kwa kujua kuwa mshenga anatakiwa awe ameoa.....
Wale ambao mmewahi kuwa washenga naomba mnipe sifa za mshenga ili muda wa kutafuta mshenga nisipate taabu na ikiwezekana huenda nikapata hapahapa JF!!
</p>Bado sijaoa babu, nipe uzoefu basi mshenga anatakiwa aweje? Nikikwama hata wewe utafaa kuwa mshenga!
Bado sijaoa babu, nipe uzoefu basi mshenga anatakiwa aweje? Nikikwama hata wewe utafaa kuwa mshenga!
Ahahahaah!! Sijaoa mkuu ile ya mke kununa, sio mke wangu ni mke wa rafiki yangu, isome vizuri!! Hakuna thread yoyote humu ndani ambayo nimesema nimeoa, ni imaginations tu za members, labda kwa ushauri ninaotoa hapa ktk jukwaa hili...ll!!Threads zako katavi zinanichanganya maana zingine unaomba ushauri wa ndoa yako ktk suala la mkeo kununa, mara zingine unaomba ushauri wa masuala ya mshenga. Nami pia nilijua umeoa tayari.