Mshikaji vipi...............

mambo kama haya nilikuwa nayaona miaka ile ya madisko toto kumbe bado yapo kweli nimezeeka. Huyo demu ni macho juu achana nae halafu una aka ngapi mtu wangu? haya mambo naona kama ya ma-teenager

Mimi sio teen..............and neither is the guy.....ila nielewe sikuwa na mpango huo ila kiukweli ni kuwa nahisi huyo demu ndiye mwenye matatizo maana na nikufuata ushauri wa most of the comment's inaonekana ni bora tuu ni tupilie mbali hili swala since at the end of the day hakuna lolote na vuna katika hili......ila namba nitampatia who cares......ila mind you hii ni A City
 
achana na mademu unaokutana nao club au ulabuni.. in short acha naye anakupoteza tu
 


Waahhhh!!!!!!!
 
ako ka binti hakajatulia hapo kanataka mkado tu tamaa za ngono zinakasumbua .
 
Wewe ni sitaki nataka. Unajifanya hutaki kumbe unaumia kimoyo moyo. La msingi, kama humtaki kata mawasiliano yote.

"DICK" mimi nimependa jina lako, habariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,:biggrin1:
 
Achana nae huyo,kwa maelezo uliyotoa utulivu wake ni zero.
 
You are playing with deadly fire..get out there as fast as you can.................
 
jamaa alipateje namba yako?:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…