Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Hujui unachokitaka...unataka account za watu ukiombwa zako inageuka show off....we hata sio verified au maarufu sana jf kiasi useme wengi tutakujua....dondosha salio la account tujue daudi anaporojo tu au vipi?
Hujaambiwa kutoa salio la akaunti yako. Tuambie una nini ktk hiyo forex.
 
Mkuu hata ukiwekewa magari, nyumba bado hakutakuwa na ushahidi wa moja kwa moja kwamba aliyekupostia hizo mali ni zake au kweli zimetokana na forex. Cha muhimu wewe endelea kuamini kile unachoamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If.you ain't make dollars you ain't shit in this world ..utabaki kusindikiza tu...nampa respect sana huyo sababu he is seeking money by any chance na ni mtafutaji ...wewe jiulize umejisacrifice nini katika kutafuta pesa au you just waste your gadem time kumfungulia thread ndugu yako ambaye anatafuta pesa ..tena naona hata madem nini hapa wenye akili wameona post ya kilofa sana hii kwanza mabebez wa ukweli wanafaglia wanaume watafutaji sio kukaa kaa tu ...
Ndugu yako ana ka mistake kadogo sana kwenye forex kuna somo la namna hio... but najua atajifunza kutokana na makosa na once akishaipata road na kupata pesa wewe unaweza kua wa kwanza kumkimbilia na kumkopa na wakat huku nyuma ulimponda na kumfungulia thread kwenye social networks gadem...

By fkn way forex hata mfungue thread 100 forex will be here like forever .and people will make money ..take it or leave it...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una matatizo kichwani wewe. Kwa hiyo hela zote zinatunzwa kwenye mt4? Au unatamani uonyeshwe bank account? KAMA HUWEZI KUTRADE FOREX KAUZE VIBAMIA BWANA UNATUCHOSHA TU HUMU JUKWAANI!
Huyo jamaa akionesha account yake yenye walau million 6 Mimi naacha kufanya forex..



Maana kila challenge nimempa kashindwa. Labda hii ataiweza. Hahaha .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaombwa na withdrawal muda si mrefu...
Kama msukule kama huu unaongozwa na magufuli, basi mheshimiwa raisi ni moja ya maraisi wenye kazi ngumu duniani. Ni bora ufuge Bata kuliko kufuga Msukule kama huu ukitarajia ni mwananchi atakaeleta maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini ni maradhi.Watu maskini wana wivu sana.Mwenzio dollar 2000 anatengeneza in two days.Wewe unatengeneza ngapi mkuu?[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata matajitri wakitaka watu watoke ktk umaskini huwa wanaeleza walipotoka mpaka walipofika ktk utajiri. Walianzaje ,walifanya nn mpaka wakapata utajiri. Hapa ni sawa sawa na mtu anakwambia nina bilioni moja ipo benki halafu ana maisha ya kawaida tu.
Ili na sisi tuingie ktk forex naomba atokee mtu atueleze tangu alipoanza forex na mafanikio aliyopata mpaka sasa. Unless otherwise watuambie unapata pesa ya kawaida tu ambayo mtu wa kawaida anapata na si kutuaminisha kwambwa forex itakufanya uwe tajiri.hizi usd 6000 ,7000 ni pesa za kawaida kwa mtu anayefanya business.
 
Wewe unaefanya business weka account yako yenye million 6 tu.


Ukute una deni Tala na Vicoba hapo ulipo. kuanzia Leo acha kudharau fx trader. Popote umuonapo weka heshima mbele kama hicho kitambi chako cha Wanzuki na Banana.


Narudia tena Mara ya mwisho weka Salio lako million 6.


NB: nakuruhusu kuweka hata Salio la M Pesa Basi.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimeomba
Huyo jamaa akionesha account yake yenye walau million 6 Mimi naacha kufanya forex..



Maana kila challenge nimempa kashindwa. Labda hii ataiweza. Hahaha .

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nimeomba aje mtu wa forex atupe ushuhuda. Ni kama diamond aje aseme mziki unalipa halafu akwambie mafanikio aliyopata ktk mziki unaweza kumuelewa mziki unalipa.
Jibu swali kwa hoja. Toa ushuhuda
 
Ebana eeeeh wadau. Wiki hii nilikuwa bize kuchati kwa sababu soko halikuwa Good coz ni mwanzo wa season kama kawaida soko linakuwa very slow. Ila next wiki naamini litarudi kama kawaida.


Stay Blessed. Never Get Twisted na hawa akili ndogo wenye Njaa za akili. Stay Focused. Ups and downs ni kawaida katika maisha. Tupambane.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimeomba


Mkuu nimeomba aje mtu wa forex atupe ushuhuda. Ni kama diamond aje aseme mziki unalipa halafu akwambie mafanikio aliyopata ktk mziki unaweza kumuelewa mziki unalipa.

Jibu swali kwa hoja. Toa ushuhuda
Subiri mshahara tarehe 39,[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii forex ni kamari ya kimataifa nahic huyo kitakachomkuta ni Kilio na kusaga meno


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…