Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Don't bother, he is "every one". Remember FX is not for everyone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Dogo mmoja ni ndugu yangu nilimkuta na Dada mmoja wanaongea nikaenda kibaha nikarudi town nikakuta bado wapo wana ongea!!
Nikamuita nikamwambia Dogo vip huoni huyo Dada kakuzidi umri tafuta wa size yako utakufa mjini hapa!!
Akaniambia hapana broo sio hivyo ni Dada yake mshikaji wangu tuliyekuwa naye chuo!
Nikamwambia sasa mnaongea nini mda mrefu hivyo akaniambia Ana mwambia kuhusu hayo mambo ya forex 🙆🙆 akaniambia ana mwambia akiweza kuanza na m3 itakuwa poa zaidi! Ukweli me mambo yenyewe sia juwi kabisa nina sikiaga juu kwa juu tu Ila kwa mizunguko yangu sio mtu wa kudanganywa Nika mwambia kamwambia broo amesema nikiingia Kwenya iyo kitu kichwa changu atakiweka kabatini!!
Adi leo sija muona tena yule Dada ilikuwa manzoni mwa mwaka Jana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…