Acha njaa wew [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
Akafanye kazi atafanikiwa
Don't trade money u can't afford to loose,hao ndo wanaichafua forex,disclaimers zipo lkn Hawasikii,wanadhani forex ni utajiri wa ghafla tu.Mdogo wangu kauza nyumba mwanza nyakato kwa huu upuuzi, nilimkataza lkn wapi mwisho wa cku nyumba ikaitwa Forex
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui nilichomaanisha kulingana na ufinyu wa akili zako, toka nilipoanza hii biashara sijawahi acha , #utajiri ni imaniPoor mentality! Kwani wafanya biashara wote ni mabilionea? Forex ni biashara kama zilivyo biashara nyingine hivyo kila mtu anafanya hii biashara kulingana na targets zake. Siyo kila anayefanya biashara lazima awe bilionea hayo ni mawazo pori na nakuomba uyaondoe kichwani mwako!
Jibu hoja kwa hoja ili nijue ulichomaanisha. Sasa hvi ulivyojibu ndiyo umenielewesha ulichomaniisha?Hujui nilichomaanisha kulingana na ufinyu wa akili zako, toka nilipoanza hii biashara sijawahi acha , #utajiri ni imani
Kujelewa na kushindwa kupata elimu ya technology ipasavyo ndio inasababisha chochote kinachfanyika online ikihusu pesa ionekane ni SCAM but tunashndwa kuelewa kuwa ukiona uwezi forex, jaribu ata njia zingine kama Affiliate marketing ata kuwa Freelancer tatizo letu huwa tunakurupukaga sana tukisikia tu kuna mtu kapata pesa kupitia kitu fulani wote huko naona siku hizi mihemko ya AGRIBUSINESS imeisha kabisaBado sijaona tajiri halisi mbongo kwenye hii biashara, watatoka mabilionea wachache Sana sababu the business is real na haiaminiki[emoji3] , mabilionea tutabaki kuwa wachache mno sababu utajiri ni imani ,
Umeshindwa kuiamini forex, amini utajiri wa makete njombe basi[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh!Forex ni kama ulokole tu.
Mniwie radhi walokole wote humu sina maana ya kuwakashifu.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Eti mihemko ya AGRIBUSINESS hahahaaaKujelewa na kushindwa kupata elimu ya technology ipasavyo ndio inasababisha chochote kinachfanyika online ikihusu pesa ionekane ni SCAM but tunashndwa kuelewa kuwa ukiona uwezi forex, jaribu ata njia zingine kama Affiliate marketing ata kuwa Freelancer tatizo letu huwa tunakurupukaga sana tukisikia tu kuna mtu kapata pesa kupitia kitu fulani wote huko naona siku hizi mihemko ya AGRIBUSINESS imeisha kabisa
Mkuu hebu fafanua vizuri.Nikikumbuka vortex walivopiga laki 8 zangu daah naonea huruma hawa wanaojiunga cjui forex mara ai global mara cjui ujinga gn
Hahaha watanzania bado wana safari ndefu sana , yani ukapigwa na hiyo vortex???Nikikumbuka vortex walivopiga laki 8 zangu daah naonea huruma hawa wanaojiunga cjui forex mara ai global mara cjui ujinga gn
Ni kama beting tuu. Kila siku utakamuliwa buku hadi buku kumi ukiwa na matumaini iko siku mkeka utakaa sawa.
Nikikumbuka vortex walivopiga laki 8 zangu daah naonea huruma hawa wanaojiunga cjui forex mara ai global mara cjui ujinga gn
Zero IQ, kitachofata kwa huyo jamaa ni kilio cha mbwa koko[emoji16][emoji16][emoji16]
Karibuni sana. Forex ni mkombozi wa kweli. Yani mshahara utoke usitoke sina shida, infact sijaenda hata bank kuangalia kama umetoka.Jamaa yangu kapewa na uwakala, sasa amefungua darasa la Forex, wakati yeye hata buku hana
Karibuni sana. Forex ni mkombozi wa kweli. Yani mshahara utoke usitoke sina shida, infact sijaenda hata bank kuangalia kama umetoka.
Natumia masaa machache ku trade, nikiset trade zangu naenda site kuangalia mafundi wanafanyaje kazi!!
Yaani raha mustarehe!! View attachment 1081325