Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Pole mkuu, jiandae kumsikia akiilaumu serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka n Ontario

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha pole sana. Hukuwa na hawa magwiji wa JF ambao wao kila siku wanavuna pesa? Hivi ukila hela unamla nani na ukiliwa nani anakula hela yako?

Acha kabisa
Wale ndugu zangu kama hawakufikia kuuza assets sijui
Biashara zilisimama tukawa na private office
Ni kutrade tu!
Kuna wanaobuy na wanaosell sellers wakitake control buyers wanapoteza
 
Kama anacheza forex basi ni halali yake kuuza vitu, sababu what I know ni kwamba forex haichezwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…