kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 126
- 9
haya majimama yana siri gani....hebu tujuzeni jamani....kila siku jimama latafutwa humu.......kulikoni
haya majimama yana siri gani....hebu tujuzeni jamani....kila siku jimama latafutwa humu.......kulikoni
kwa sharti zako...nna mashaka... Na uwajibikaji wako katika kutimiza 'ze nidful'nahitaji binti,umri miaka 40 - 45,alieachika au ambae hajaolewa,awe anajitegemea.hana ukimwi wala gonjwa lolote la kuambukiza,asiwe sex maniac(sijui kwa kiswahili nisemeje),asiwe mlevi wa chochote.kama unajiona una sifa hizo hapo juu ni pm.
kachumbari anatka jibibi!!!!khaa eti kibinti cha 40 to45 bado ni bint huyo jamani???
ataka jibibi hasa huyu
heheh hicho kipengele cha asiwe sex maniac kimenichekesha kweli,
wanaume wote wanaombea wapate mwanamke wa hivi..wewe naona unaombea hali iwe tofauti..
something is wrong somewhere...
haya majimama yana siri gani....hebu tujuzeni jamani....kila siku jimama latafutwa humu.......kulikoni
kachumbari anatka jibibi!!!!khaa eti kibinti cha 40 to45 bado ni bint huyo jamani???
40-45 sio ji bibi bana.....ukute kajiweka poa.....we!