Elections 2010 Mshindi wa kura za maoni mahakamani kwa rushwa

Elections 2010 Mshindi wa kura za maoni mahakamani kwa rushwa

Kamakabuzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2007
Posts
2,903
Reaction score
1,360
Mshindi wa kura za maoni za CCM kugombea ubunge jimbo la Karagwe Nd. Gozibert Begumisa Blandes yuko mahakamani kwa rushwa.

Kesi hii ni ya mwaka 2007, ila jana mahakama imesema kulingana na vielelezo ilivyopokea toka takukuru, mtu huyu ana kesi ya kujibu. Kesi itasikilizwa tena tarehe 28.8.2010.

Je huyu anaweza kuondolewa katika kugombea wakati kesi haijahukumiwa?

Je akina Mramba status yao ikoje?
 
Mshindi wa kura za maoni za CCM kugombea ubunge jimbo la Karagwe Nd. Gozibert Begumisa Blandes yuko mahakamani kwa rushwa.

Kesi hii ni ya mwaka 2007, ila jana mahakama imesema kulingana na vielelezo ilivyopokea toka takukuru, mtu huyu ana kesi ya kujibu. Kesi itasikilizwa tena tarehe 28.8.2010.

Je huyu anaweza kuondolewa katika kugombea wakati kesi haijahukumiwa?

Je akina Mramba status yao ikoje?

Rushwa ni sehemu ya mfumo wa CCM. Hivyo huwezi kutenganisha CCM na rushwa.

tutatarajia watuhumiwa wote wa rushwa na ufisadi kupitishwa na CCm kwa maelezo kuwa nin watuhumiwa na hawajapatikana na hatia katika mahakama zetu

Kwa wenzetu kule Rwanda ukituhumiwa tu huna tena sifa ya kufanya kazi katika public office. Tafakari.

Hivyo kama unataka kuondokana na rushwa "VOTE CCM OUT OF OFFICE. NA WAKATI ULIOKUBALIKA NDIO HUU!!"
 
Rushwa ni sehemu ya mfumo wa CCM. Hivyo huwezi kutenganisha CCM na rushwa.

tutatarajia watuhumiwa wote wa rushwa na ufisadi kupitishwa na CCm kwa maelezo kuwa nin watuhumiwa na hawajapatikana na hatia katika mahakama zetu

Kwa wenzetu kule Rwanda ukituhumiwa tu huna tena sifa ya kufanya kazi katika public office. Tafakari.

Hivyo kama unataka kuondokana na rushwa "VOTE CCM OUT OF OFFICE. NA WAKATI ULIOKUBALIKA NDIO HUU!!"


Dr. Slaa ndiyo suluhisho!
 
CCM(Chukua Chako Mapema)hawa jamaa katika kucheza fouls hawajambo na ndiyo maana utasikia wanasema tutashinda kwa gharama yeyote ile;sasa ndiyo mnategemea rushwa iishe thubutuuuuu!Na waingia madarakani wanageuza ofisi za umma kama kampuni zao binafsi ili hali ni mali ya umma na wamewekwa hapo kuwahudumia wananchi.
Na ndiyo tangu uhuru Tanzania haina maendeleo yeyote ya kujivunia katika sayari hii.
 
Visa vingine hata havifai kwani lazima uwe mbunge? Hii kesi imepikwa tu ili huyu jamaa ashindwe kugombea ubunge .hivi lazima mtu uwe mbunge hata kwa njia za kuwaletea wenzako maumivu ? Kwani hii ina tofauti gani na jambazi linaloua kwa ajili ya kupata fedha za kunywea na kujifurahisha kwa uzinzi
 
Back
Top Bottom