Mshindi wa tuzo ya Noble kahukumiwa miaka kumi jela

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Mpigania haki za binadamu Ales Bialiatski, muanzilisha wa umoja wa Viasna (Belarus), alipata tuzo hiyo ya heshima mwaka 2020 pale stockholm sweden.

Leo hii mahakama iliyopo belarus imemuhukumu mshindi huyo wa tuzo hiyo ya amani miaka 10 jela, kwa kosa La kushiriki kusaidia maandamano na makosa mengine ya jinai.

 
Tena kidogo huyu wangemnyonga kabisaa
 
Wanaoenda jela sio wote wana hatia x2
Wengine wanakwenda kwa kesi za kusingiziwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…