Moha Mfinanga
Member
- Jan 1, 2019
- 61
- 26
Jana Hispania alirusha bomu mochwari naye kashaingia kwenye mbio za ubingwa wa kombe la dunia, duuuh [emoji15][emoji23]
kama ni ulaya hakuna zaidi ya England or FranceKombe itachukuliwa na nchi moja kutoka bara Ulaya ambayo haijawahi kuchukua hili kombe.
Tutakumbushana.
apa tumeenda sawaBrazil
Anamaanisha uholanzikama ni ulaya hakuna zaidi ya England or France
wacha dakika 90 zizungumze
Airtel Tv ila lazima uwe na laini ya Airtel huduma kama zote ni ww tu na bando lakoApp gani itaniwezesha kustream live michuano ya kombe la Dunia inayoenelea Qatar!?
Ipo App inaitwa Airtel TV!!?
ipoKweli!
Ipo App inaitwa Airtel TV!!?