Mshiriki wa Tanzania BBA hana uzalendo

Mshiriki wa Tanzania BBA hana uzalendo

mopaozi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
3,300
Reaction score
523
Jamani hii imenishangaza sana kuona mshiriki wetu Lotus kumpigia kura mshiriki mwenzie frm TZ Bhoke atolewe na kudai kuwa anataka kubaki peke yake ili nchi ibaki na mwakilishi mmoja huu ni ubinafsi ajabu na kukosa uzalendo haikawahi tokea katuwekea historia mbaya kuwa watz hatupendani na wadada wa tz hawapendi!akirudi si tayari bifu hilo na mwenzie sipati picha huko kazini kwao watakavyokuwa wanatimbana!
 
hana lolote hakujifunza ktk BBA zilizopita wale wa Nigeria walikuwa wanakingiana kifua.
anataka ashinde yy hapo ashapoteza kura za watanzania.
 
Jamani hii imenishangaza sana kuona mshiriki wetu Lotus kumpigia kura mshiriki mwenzie frm TZ Bhoke atolewe na kudai kuwa anataka kubaki peke yake ili nchi ibaki na mwakilishi mmoja huu ni ubinafsi ajabu na kukosa uzalendo haikawahi tokea katuwekea historia mbaya kuwa watz hatupendani na wadada wa tz hawapendi!akirudi si tayari bifu hilo na mwenzie sipati picha huko kazini kwao watakavyokuwa wanatimbana!hivi kweli huyu ni mtanzania manake wenzie wote huwapigia raia wa nchi nyingine kura watoke inawezekana kuna nchi anaiwakilisha huyu si mtanzania!!
 
Si wako kwenye bifu la kugombea uume huko mjengoni? Ndicho mlichowatuma
 
hawa waliopeleke mademu wawili mjengoi hawakuchanganya na za kwaao nini?
 
Dah!yaani ni siku za mwanzo kabisa wanaliwa mzigo si bora hata wangesubiri x2 karibu hata ya mwishoni hata wakitajana tungejua wanatafuta ushindi sasa hii aisee dah!!!................kweli wanawake akili zao zipo katikati................
 
Duh yaani michezo ya kipashkuna na ngono zembe ndio ibebe national interest?..guyz take chill pill kidogo.
 
  • Thanks
Reactions: RR
Tuache kujadili mambo ya kipuuzi BBA ina faida gani zaidi ya upuuzi na upumbavu na aibu kwa jamii zetu kwa kuiga matapishi tujadilini mambo ya maana
 
Lotus ni m'baya wa sura hivo hata moyo wake ni M'baya I don't think she is even a Tanzanian. Course Tanzanian woman is well behaved. Lotus is just a bad specie. What a shame tunamngoja atarudi atatukuta. Thanks
 
Mbona sioni kosa lolote? Its part of game
 
haya bana hata mambo ya kipuuzi nayo yana uzalendo ? sasa uwakilishi wao una faida na uzalendo gani kwa Tanzania kama nchi,Tanzania kama nchi tunafaidika nini na uwepo na matendo yao ndani ya BBA, au labda sielewi maana ya uzalendo.....
 
ni ubinafsi na kukosa uzalendo kwa nchi. Watanzania tupendane jamani
 
Dah!yaani ni siku za mwanzo kabisa wanaliwa mzigo si bora hata wangesubiri x2 karibu hata ya mwishoni hata wakitajana tungejua wanatafuta ushindi sasa hii aisee dah!!!................kweli wanawake akili zao zipo katikati................
mhh hebu rekebisha hiyo bwana haijakaa vyema
 
Back
Top Bottom