Nelson Charles
Member
- Oct 16, 2008
- 10
- 0
[SIZE]Dah! wshkaj hi noma kuna jamaa mmoja alimpa mimba mtoto wa kigogo Basi akafunguliwa kesi wa mshitaki kwa kosa la kumpa mimba. Sasa kumbe yule mshikji ana Bibi yake mtaalaam wa yaleeeeeeee!! mambo yetu ya simba wanga kwahiyo Basi bibi yule aka mgeuza mshkji jinsia ya kiume akamweka jinsia ya kike Basi ilipo fika siku yakwenda mahakaman akapandishwa kizimban kuhojiwa aka sema hivi mimi siyo nilie mpa mimba kwesababu mimwenyewe ni na jinsia ya kike ili kusibitisha akajifunua nguo mahakaman basi aka shinda kesi. Akarudi nyumban wakati anakaribia nyumbani akakuta turubai lime tundikwa na watu wanalia akauliza kunanini apa? Eti BIBI KAFAA!!!!!!!!!!! JAMAA AKANGUA KILIO NANI? NANI ATAMRUDISHIA JINSIA YA KIUME WAKATI BIBI KAFA? JE? INGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE?
SWALI KWAKO MDAU?[/SIZE]
SWALI KWAKO MDAU?[/SIZE]