Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
- Thread starter
-
- #21
jamaa alikuwa anaishi kwangu wakati anatafuta kazi nilimsaidia sana hadi kifedha lakini mwisho wa siku ndio kaja kunifanyia mambo kama hayaNdo maana mie nikakwambia malizia story yako
uliza kwanza msaada gani nilimsaidia/?
jamaa alikuja akawa anaishi kwanggu kwa mda so hapo ndio alivyojuana na demu wangu
hope umenipata
wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi ...
.... cha msingi temana na hako ka demu au kama una moyo wa kusamehe poa tu... kwani nini kaka ile kitu si haisomi kilometa mzee..we komaa nayo kama vipi...
cha msingi sana katika maamuzi yako mie nilishashauriwa na mzee wangu kwamba USIMWAMINI MTOTO WA KIKE HATA KWA DAKIKA MOJA... Akili kumkichwa,
wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi
sasa hapa nifanyeje?
nakumbuka kaka yangu aliniambia kuwa nisiwe nasaidia kila mtu
kuanzia leo sitasaidia mtu kitu chochote nadhani hii sio dhambi bora lawama kuliko fedheha, na kama nitakuwa nataka kutoa msaada bora nipeleke kwenye vituo vya kulelea watoto kuliko kumsaidia binadamu.
kimwanamke chenyewe kinajifanya kukataa kimeruka hadi mita mia kukataa
sijui nikiache, kudddkkkki
nawashauri msiwe mnasaidia watu kama sio ndugu yako wa tumbo moja.
na kama huamini ipo siku itakuja kupata yaliyonipata leo
PJ sio kweli kabisa huyu mtoto anapata kila kittu na ninavyoona jamaa alianza kumfuatilia mda sana ...na walitumia huu mwanya niliposafiri kwenda nje ya nchi .. dah!! but sema bado sijafunga bdoa ningeua jamaa yule
Kuna watu wamemegewa wake zao na ndugu yake wa tumbo moja,yaani amemtoa kijijini,amemsomesha,amemlisha,kamvika na kamtafutia kazi na bado anatembea na mke wake(shemeji yake)!!!Bora wewe amemega mshikaji wako.Anyway hujasema umejeuaje au kuhakikisha kama ni kweli,kama ni kweli basi achana nae ila usiache kusaidia watu ila usiwaamini watu.Binadamu hawafanani tabia.
Hapo kwenye mstari naona unapotosha kaka. Si vizuri kumega mademu za watu ipo siku yanaweza kukutokea puani ukajuta kuzaliwa. Pia ukumbuke maradhi na kikombe cha babu ni kimoja tu bora uchukue tahadhari. Tabia za kumega mega zimepitwa na wakati. Mbona wapo mademu chungu nzima hawana wanaume sasa hawa wa wenzenu mnawatamania nini?
nilikamata meseji kwenye simu yake ,mimi huwa sina tabiuia ya kuangalia au kushika simu ya sichana wangu huwa nampa uhuru sana na simu yake so niliporudi , akaja kwangu alipoenda kuoga mesji ikaingia nilipoisoma jamaa(mshkaji wangua) akawa amemuandikia kumuuliza kama nimerudi k(kumbuka nilikuwa safarini) ila mda mwingi sana naspent na huyu mwanamke na nilipoendelea kusoma meseji nikakuta meseji kibao na wote nikiwauliza mwanamke anaruka hana cha kujitetea lakini na jamaa katoka nduki na line kabadilishaumemtuhumu demu wako lakini umekimbilia mabo ya msaada na hivyi kuharibu habari yote........
kaka kusaidia wewe saidia wala uskate tamaa.....umemuuliza demu wako amekataa( mita mia) je umemuuliza huyo rafiki yako?....bado anakaa kwako?....ilikuwaje mpaka ukajua kuwa rafiki yako amemega demu wako?......halafu kwa mbali inaonekana kama huyo demu wako ulikuwa humuheshimu( kuna neno hapo juu kwenye habri yako umelitumia) pengine ndio maana imetokea kitu kama hicho......halafu kaka nikwambie....unafanya makosa sana kusema/kutwambia kuwa tusisaidie watu kama sio tumbo moja....hili ni kosa kubbwa sana kamanda....mimi huku niliko naishi na watu na ambao tunasaidiana kuliko hata ndugu.......tamaa za demu wak na rafiki yako zisikufnaye ukabadili mfumo mzima wa maisha......hata ukifa mara nyingi watu baki huwa ndio wanappiga koleo pale kaburini kukuzika tena wengine hawakuwahi kukutana na wewe wakati wa uhai......so we saidia bwana....by the way kaka halua haina kipolo mpige chini na tafuta mwingine....kwani nini upashe kipolo wakati vya kupikwa vipo?
...delusions!, ...nikikwambia u list kila kitu anachokipata utaweza?
Kuna kitu kimekosekana mzee, rudia kwenye drawing board.
.... e bana wee? kumsaidia mtu kunahusiana vipi na 'kumegewa' demu wako?
.... e bana wee? kumsaidia mtu kunahusiana vipi na 'kumegewa' demu wako?
samahanwakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi
sasa hapa nifanyeje?
nakumbuka kaka yangu aliniambia kuwa nisiwe nasaidia kila mtu
kuanzia leo sitasaidia mtu kitu chochote nadhani hii sio dhambi bora lawama kuliko fedheha, na kama nitakuwa nataka kutoa msaada bora nipeleke kwenye vituo vya kulelea watoto kuliko kumsaidia binadamu.
kimwanamke chenyewe kinajifanya kukataa kimeruka hadi mita mia kukataa
sijui nikiache, kudddkkkki
nawashauri msiwe mnasaidia watu kama sio ndugu yako wa tumbo moja.
na kama huamini ipo siku itakuja kupata yaliyonipata leo
nilikamata meseji kwenye simu yake ,mimi huwa sina tabiuia ya kuangalia au kushika simu ya sichana wangu huwa nampa uhuru sana na simu yake so niliporudi , akaja kwangu alipoenda kuoga mesji ikaingia nilipoisoma jamaa(mshkaji wangua) akawa amemuandikia kumuuliza kama nimerudi k(kumbuka nilikuwa safarini) ila mda mwingi sana naspent na huyu mwanamke na nilipoendelea kusoma meseji nikakuta meseji kibao na wote nikiwauliza mwanamke anaruka hana cha kujitetea lakini na jamaa katoka nduki na line kabadilisha
ohh kumbe ndio urithi pekee tulioachiwa nimefunguka macho :lol:Pole kwa kumegewa Demu wako, Najua Inauma Sana.
Lakini Endelea na Moyo wa kusaidia watu, Hakuna uhusiano wa kusaidia mtu na kumegewa demu wako.
Kwa kupunguza machungu, tafuta Demu wa mshikaji na wewe ummege. Kumbuka Madem ndio urithi pekee tulioachiwa sisi.
jamaa alikuwa anaishi kwangu wakati anatafuta kazi nilimsaidia sana hadi kifedha lakini mwisho wa siku ndio kaja kunifanyia mambo kama haya
uliza kwanza msaada gani nilimsaidia/?
jamaa alikuja akawa anaishi kwanggu kwa mda so hapo ndio alivyojuana na demu wangu
hope umenipata
...alaa...Ok, mimi nilikusoma msaada wa kifedha na kazi tu.
Pole bana.
...sasa vipi demu wako, bado unaye? ushamsamehe?
...contradictory statements hizo Easymutant!
Mimi ningemshauri aendelee kuamini, ila awe mwangalifu.
sio lazima kucomment kila thread inayowekwa hapa zikine piga kimya kula lapa ok? wewe hujui nipo kwenye hali gani ..wewe na wewe si utaoa mwanamke? au unadhani mke wako atakuwa sio binadamuaSasa unatulalamikia nini; huoni kuwa hata huko kumegewa , demu wako alikuwa anaendeleza tabia yako njema ya kutoa msaada panapohusika?
We enedelea kusaidia tu na demu wako usimwache kwa kijimambo kama hiki bana! Isitoshe utampata wapi mwingine mtakayerandana namna hiyo kitabia?