msendoking
Senior Member
- Feb 15, 2017
- 128
- 93
Pole sana.Habari za jioni wakuu…
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa na kujitafutia chochote kile ili mkono uende kinywani.
Nia na dhumuni langu kuandika waraka huu, ni kupata usaidizi/ushauri na hata utatuzi/tiba ya tatizo linalonisumbua. Tatizo langu naweza kuliita la pekee (najua ninalo peke yangu), kwani sijawahi sikia au soma mtu akiwa ameandika humu ukiachilia mbali kusimulia.
Tatizo ni kwamba, kabla ya kulala au kuchukuliwa na usingizi ni lazima nipate mshtuko kidogo ndipo niweze kulala. Ni muda sasa kwani nakumbuka kuwa nilikuwa nalo tangia zama zangu za utoto hata sasa.
Nakumbuka nyakati za utoto nilikuwa nahisi kama naruka kwenye mti (kudondoka), kisha nikishtuka na kulala tena hiyo njozi haijirudii tena hadi ifike siku nyingine.
Sasa nyakati hizi njozi hizo hakuna ila najikuta nashtuka tu na kisha kufuatiwa na usingizi mzito. Yeyote mwenye kufahamu na kujua tiba rasmi ya tatizo langu, tafadhali asisite kunieleza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu…
Nimekuelewa mkuuPole sana.
Kama ni Mkiristo, nenda Kanisani utubu dhambi zako na Kuanza maisha mapya.
Hii hali ilinitesa kwa Muda, nilitibiwa bila mafanikio hadi nilipopeleka tatizo langu kwa Kristo.
Ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni dalili za dhambiTatizo hilo wanalo watu wengi...!!
Unaweza kulala na ukaota ama kuhisi unadondoka katika Kishimo (sio Shimo kubwa)..
Naomba ni-PM nikushauri cha kufanya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa chako kilishazoea kubembea(kilevi) Siku ukilala mapema half upo soba unakiwaza hasa hicho kilevi na unalala kwa masikitiko mnooo!!najua humu kwa wana jukwaa hutokubaliana na Mimi lkn ndani ya nafsi yako lipo waziHabari za jioni wakuu…
Poleni na majukumu ya kulijenga taifa na kujitafutia chochote kile ili mkono uende kinywani.
Nia na dhumuni langu kuandika waraka huu, ni kupata usaidizi/ushauri na hata utatuzi/tiba ya tatizo linalonisumbua. Tatizo langu naweza kuliita la pekee (najua ninalo peke yangu), kwani sijawahi sikia au soma mtu akiwa ameandika humu ukiachilia mbali kusimulia.
Tatizo ni kwamba, kabla ya kulala au kuchukuliwa na usingizi ni lazima nipate mshtuko kidogo ndipo niweze kulala. Ni muda sasa kwani nakumbuka kuwa nilikuwa nalo tangia zama zangu za utoto hata sasa.
Nakumbuka nyakati za utoto nilikuwa nahisi kama naruka kwenye mti (kudondoka), kisha nikishtuka na kulala tena hiyo njozi haijirudii tena hadi ifike siku nyingine.
Sasa nyakati hizi njozi hizo hakuna ila najikuta nashtuka tu na kisha kufuatiwa na usingizi mzito. Yeyote mwenye kufahamu na kujua tiba rasmi ya tatizo langu, tafadhali asisite kunieleza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu…
Mkuu Mimi sio mtabiri wa ndoto na hakuna watabiri wa ndoto saana utadanganywa tu.Tatizo hilo wanalo watu wengi...!!
Unaweza kulala na ukaota ama kuhisi unadondoka katika Kishimo (sio Shimo kubwa)..
Naomba ni-PM nikushauri cha kufanya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umshauri au umdanganye?Tatizo hilo wanalo watu wengi...!!
Unaweza kulala na ukaota ama kuhisi unadondoka katika Kishimo (sio Shimo kubwa)..
Naomba ni-PM nikushauri cha kufanya...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pepo ndio niniPepo
Hukuwahi kutafuta tiba?Ni kawaida tuu hata mimi hunitokea mara mojamoja hasa nikiwa na uchovu
Nimecheka kwa sautiHizo ni dalili za dhambi
Sent from Calculator Phone vesion007
Kuhusu unywaji, sinywi kabisaaa.Kichwa chako kilishazoea kubembea(kilevi) Siku ukilala mapema half upo soba unakiwaza hasa hicho kilevi na unalala kwa masikitiko mnooo!!najua humu kwa wana jukwaa hutokubaliana na Mimi lkn ndani ya nafsi yako lipo wazi
Sent from Calculator Phone vesion007
Hao hadi usingizini hawajulikani
Huko nilitoka zamani mkuu.Kunywa konyagi kubwa kabla ya kulala mkuu utapata usingizi fasta na utakuwa jasiri hata ukiota unadondoka juu ya mlima kilimanjaro
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja sio unywajiKuhusu unywaji, sinywi kabisaaa.
Hapana maana hunitokea kwa nadra saaana tena nikiwa nimechokaHukuwahi kutafuta tiba?