Mshukiwa wa dawa za kulevya aliyetajwa na Mwakyembe!

waiting to hear that Chid Benz and M2theP are in the Court of Law to answer these allegations.
 

Taratibu mkuu...mbona bongo yapo mengi sana?
 
Inaonyesha hao akinamama walifanywa kafara ili mzigo upite kiulaini. Na pengine kawasakizia yeye maana ni mzoefu SA
 
Kimenuka...ningawa wengine msio na busara mnasema hizi ni zuga!!Tatzo la wabongo mna majibu yenu ,sasa chakufanya toa mawazo hapa sema fulani naye......km Rizmoko..n.k

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu mkorosho kigoli.....watu wanakula bata siku nzima na hela wanayo mingi.....mpaka unajiuliza hizo ramani zao kachora nani....a/ kumbe dah....mcheki mwakyembe utajua watu wanavyopiga deal kijinga...

sure Dr.Mo na ukitaka kuamini hilo angalia vipande vya mahekalu wanavyovishusha huko mbezi bichi,makongo,kawe na kigambon,pamoja na utititri wa maghorofa,
kuna wawili hata humu walitajwa kwenye ile barua ya kwanza ya wafungwa wa HK,ila nilishawai kupata habar zao b4 wao mpaka wamedhamin mradi wa kuwasaidia watu kupasua mabusha pale magomeni,sasa now wanashindana kupandisha ghorofa pale magomeni mwembe chai,,,,mmoja hapendi kuitwa jina lake,anapenda kuitwa babu,,,
'vogue' ndo usafiri wake yeye,
 
Last edited by a moderator:
Kimenuka...ningawa wengine msio na busara mnasema hizi ni zuga!!Tatzo la wabongo mna majibu yenu ,sasa chakufanya toa mawazo hapa sema fulani naye......km Rizmoko..n.k

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mwekundu tujipe muda tu,,,ila hii itakua kama richmond,mtandao wa unga huu utaugusa tu mtaa wa Lithuli,Mwakyembe atachemka tu,
 
Last edited by a moderator:

.
Ina maana mpaka leo hujui kwamba dola ipo kwenye mgomo? Otaona wakiisha kamata watasubiri kupokea maelekezo ya ni mashitaka yapi wawafungulie, kisha wasubiri kuambiwa wapelekeni magereza, kisha hakimmu aambiwe kuanza likizo ili wakija mahakamani wakose dhamana kusubiri upepo upepo upite na mwisho wa yote mahakama itapokea taarifa ya kuwafutia mashitaka maana serikali haina nia ya kutaka kuendelea na mashitaka yao, na ukurasa kufungwa rasmi kwani wadanganyika watakua washasahau ni nini kilichokua kikiendelea.
CHEZEA SERIKALI INAYOFANYA KAZI YA KUUPISHA UPEPO UPITE WEYE?
.
 
mjini hapa watu wanaendesha magari mazuri...wanachezea hela...unashangaa watu wanapata wapi kumbe ...dah

Aiseee yn acha tu...wanafanya matanuzi ya hajaa...wanatuumiza roho kumbeee....na bado watatajwa woote...rummy migold na evans komu wote ni chama moja na masogange....watoto wadogo wananing'iniza magold 10 10 kwa hela zipi
 
Naona kama mwakyembe ameingia vitani bila jeshi hivyo siyo rahisi kupigana vita mwenyewe
Uko sahihi maana waziri wa mambo ya ndani, waziri wa Mambo ya nje, na waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora, pia waziri wa ulinzi wako kimya
 
... Nyambaff maafisa uwanja WA ndege olivar thambo sauz viherehere
Nadhani wanausalama wanatakiwa wakufuatilie kwa karibu...huo uhusiano wa karibu kiasi hicho na mtuhumiwa...kiasi cha kufikia hatua hiyo uliyoeleza...kuna uwezekano...huko kwenye genge la wauza mihadarati
 
Hivi sheria ikibadilishwa kidogo ikasomeka hivi "Ukaguzi wa mizigo iliyobebwa ktk ndege lazima ifanyike ndege inakoruka na kule ndege inakotua"
Na jukumu hili pia liwahusishe wamiliki wa ndege,na ikiwa itathibitika ndege ilibeba sembe haramu itaifishwe!
 
Polisi wanamwangalia tu Mwakyembe
 
Inaonyesha hao akinamama walifanywa kafara ili mzigo upite kiulaini. Na pengine kawasakizia yeye maana ni mzoefu SA

yan wanaposema hizo kg.150 walizokamata wamevunja rekodi sipati picha kama na hizo beg 3 zilizoyeyuka kama zingepatikana pia! Nadhan ndo ungekuwa mshangao wa karne.

huyo jamaa ni master mind, kwa uzoefu wake wa kuishi SA aliutumia vizur kwa kuwatoa kina masogange kafara na yeye kutembea na hizo beg 3.
 
ni kweli na ndiyo maana wanasema , rahisi ni ghali daima tuishi kama sisi tu . na kumuomba mungu
 
Tangu lini jeshi la mtu mmoja likashinda vita dhidi ya jeshi la wanajeshi wenye magmba?
Tusidanganyane, huu ni mchezo mwingine wa kisiasa.
 
ni kweli na ndiyo maana wanasema , rahisi ni ghali daima tuishi kama sisi tu . na kumuomba mungu

yote yanawezekana chini ya jua,na hili ni mojawapo,umakini unahitajika ktk kuchambua mambo na hasa yanayoshabikiwa na wengi....
 
Kuna mtu anaitwa mwema hv kwa jesh anafanya nn mwisho wa cku utasikia askar aliyesema mwakyembe achukuliwe hatua kapandishwa cheo.huu mtandao ni hatar sana ila kitawaka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…