Amani Dimile
JF-Expert Member
- Jul 27, 2022
- 243
- 399
Sifa zilizokupatia kazi, ndio sifa hizo hizo mtu fulani anazo lakini hana kazi. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Maombi ambayo Mwenyezi Mungu amekujibu, ndio maombi hayo hayo wengine wanayaomba kila siku lakini hawajibiwi bado. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Barabara unayovuka kila siku kwa usalama, ndio bara bara hiyo hiyo wengi wao wamekufa pale. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Usingizi unaolala na kuamka salama, ndio usingizi huo huo wengi wao wamelala na kutoamka tena. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Mvua iliyonyesha ikastawisha mazao yako, ndio mvua hiyo hiyo iliyoharibu mazao ya mwingine. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Jua linalokuchoma na unalalamika linawaka sana, ndio jua hilo hilo mtu tangu azaliwe hajawahi kuliona. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Ugonjwa ulioumwa, ukatibiwa ukapona. Ndio ugonjwa huo huo mwingine kaumwa akafa. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Chakula unachokula unasaza, ndio chakula hicho hicho mtu fulani anakililia kakikosa. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Hakika, maisha yetu yapo chini ya anga moja lakini yanatofautiana sana Kwa Kila mtu. Penda kumshukuru sana Muumba wako, mapenzi yake ndio yamekufikisha wewe hapo ulipo wala si kingine.
"๐๐ต๐๐ฎ๐ป๐๐ฒ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ ๐๐ป๐ด๐ ๐๐ฎ๐ป๐ด๐ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐ฒ๐ป๐ด๐ถ ๐๐น๐ถ๐๐ผ๐ป๐ถ๐๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ๐ฎ"
Wako katika kalamu โ๐ผ
Amani Dimile
Maombi ambayo Mwenyezi Mungu amekujibu, ndio maombi hayo hayo wengine wanayaomba kila siku lakini hawajibiwi bado. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Barabara unayovuka kila siku kwa usalama, ndio bara bara hiyo hiyo wengi wao wamekufa pale. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Usingizi unaolala na kuamka salama, ndio usingizi huo huo wengi wao wamelala na kutoamka tena. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Mvua iliyonyesha ikastawisha mazao yako, ndio mvua hiyo hiyo iliyoharibu mazao ya mwingine. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Jua linalokuchoma na unalalamika linawaka sana, ndio jua hilo hilo mtu tangu azaliwe hajawahi kuliona. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Ugonjwa ulioumwa, ukatibiwa ukapona. Ndio ugonjwa huo huo mwingine kaumwa akafa. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Chakula unachokula unasaza, ndio chakula hicho hicho mtu fulani anakililia kakikosa. ๐ ๐๐ต๐๐ธ๐๐ฟ๐ ๐ ๐๐ป๐ด๐
Hakika, maisha yetu yapo chini ya anga moja lakini yanatofautiana sana Kwa Kila mtu. Penda kumshukuru sana Muumba wako, mapenzi yake ndio yamekufikisha wewe hapo ulipo wala si kingine.
"๐๐ต๐๐ฎ๐ป๐๐ฒ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ ๐๐ป๐ด๐ ๐๐ฎ๐ป๐ด๐ ๐ธ๐๐ฎ ๐บ๐ฒ๐ป๐ด๐ถ ๐๐น๐ถ๐๐ผ๐ป๐ถ๐๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ๐ฎ"
Wako katika kalamu โ๐ผ
Amani Dimile
Upvote
0