Msiba chuo cha utumishi wa umma Mtwara

suleym

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,961
Reaction score
1,209
habari za kusikitisha zimetokea leo asubuhi mjini mtwara ambapo mwanafunzi wa kike amefariki dunia, mauti yamemkuta gesti akiwa na mwanaume. Mwanaume huyo alikuwa amemchukua mwanafunzi huyo na kwenda nae gest moja iliyoko mjini mtwara haijulikani kitu gani hasa kimesababisa kifo cha mwanafunzi, tetec zilizozagaa mjini mtwara ni kuwa mwanafunzi huyo alikuwa alikuwa na matatizo ya kifafa. na mwanaume amjisalimisha polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…