BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Sisi lilijulikana late so it was too late.
Asanteni sana.
pole sana ndugu yangu! kila nafsi itaonja mauti, kikubwa ni kumwomba Mungu atunusuru na maovu ya dunia hii.
Nimefiwa na Mama Yangu Mzazi Hospitali ya Selian Mjini Arusha.
Alikuwa na tatizo ya maji kwenye mapafu. Nashauri tuwe tunapima afya zetu kwani tatizo kama hili likijulikana mapema linatibika. Kama bado una wazazi wanakutegemea wasaidie kuwacheki afya zao kwani unaweza sogeza umri wao mbele
Sisi lilijulikana late so it was too late.
Asanteni sana.