Msiba mzito chuo cha sayansi ya tiba udom

Msiba mzito chuo cha sayansi ya tiba udom

magori81

Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
22
Reaction score
11
Habari zenu wana janvi,kuna taarifa za kuhuzunisha kutoka Chuo cha Sayansi ya Tiba UDOM! Mwanafunzi wa kike aliyejulikana kwa jina la Sylvia aliyekuwa mwaka wa pili akisomea shahada ya Udaktari wa binadamu amefariki jana usiku katika hospitali ya mkoa wa Dodoma.Chanzo cha kifo chake ni Operesheni ya kujifungua aliyofanyiwa wiki mbili zilizopita katika hospitali hiyo iliyosababisha kidonda kupata uambukizo na kusambaa kwenye damu.(Sepsis)
Marehemu ameacha mtoto mchanga.
Rip sylvia tulikupenda lakini Mungu kakupenda Zaidi!
 
Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?
 
Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?
si mbaya na nidhani kila kitu ni rukhsa ndo maana kuna majukwaa yanayocover mambo karibia yote ya ki"jamii", na pia kwenye matukio kama haya ni njia mojawapo ya kupeana habar.
N.B Polen wafiwa, n R.I.P Sylivia
 
R.I.P rafiki na collegemate enzi hizo,Sylvia Manjulungu.
 
Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?

Mkuu Perry pole kwa hili lakini upande wa jamii ya Chuo Kikuu Cha Dodoma,Dr-Mwanachuo ameacha pengo kubwa sana kwa familia yake, mtoto mchanga na Taifa kwa ujumla!Yanapotokea haya kama familia ya wanazuoni tuombeane kwani sote tu wasafiri
 
Wewe ni mfano wa Watz wengi wanaotuzunguka ambao kwa hakika ni mzigo mzito kwa taifa! Yaan huoni hii habari kama ina umuhimu kuwepo hapa jamvini? We hufikirii kwamba hiki kifo kingezuilika kama vifaa hitajika vingekuwepo na madaktari nao kutumia taaluma yao vizuri? Mada hii haikupi kutafakari chochote juu ya changamoto zilizopo kwenye sekta ya afya na vifo visivyo vya lazima? On my side apart from feeling sorry for the big loss to the family and friends I'm thinking on what can be done to change the situation. We have to think and see things beyond our nose!




Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?
 
Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?
Angalieni jinsi 'nincompoop' huyu alichoandika hapa chini, halafu analaumu kuwekwa kwa tangazo la kifo humu jamvini!
Bila kusahau, hiyo hapo chini ni 'thread', siyo post...can u imagine binadamu tulivyo wanafiki!
Huu ni upumbavu!


Perry
1st January 2013 09:49
JF Senior Expert Member
Array
icon1.png
Nimeuanza mwaka kwa kuumwa!

Jino linaniuma sana wakuu,sina raha hapa nilipo!

 
Habari zenu wana janvi,kuna taarifa za kuhuzunisha kutoka Chuo cha Sayansi ya Tiba UDOM! Mwanafunzi wa kike aliyejulikana kwa jina la Sylvia aliyekuwa mwaka wa pili akisomea shahada ya Udaktari wa binadamu amefariki jana usiku katika hospitali ya mkoa wa Dodoma.Chanzo cha kifo chake ni Operesheni ya kujifungua aliyofanyiwa wiki mbili zilizopita katika hospitali hiyo iliyosababisha kidonda kupata uambukizo na kusambaa kwenye damu.(Sepsis)
Marehemu ameacha mtoto mchanga.
Rip sylvia tulikupenda lakini Mungu kakupenda Zaidi!

RIP our "would be" doctor!
Pole nyingi kwa familia yake, wazazi ndugu, jamaa na wanachuo wenzie!
 
Duh!kila ki2 lazma mlete humu jf jaman?

Si umeona wenzio jana walikuambia uziache sasa si unaona umeamka nazo kichwani sasa zinakuvunjia heshima hadharani, kazimue ndio urudi vingine utarishiwa mawe mno
 
Mungu amsamehe makosa yake kwa stahiki yake na amlaze ndugu yetu Silvia pema peponi AMEN; Mungu amsamehe pia Perry kwa kuona alieleta Topic kakosea ila za kwake za kuumwa kichwa tumpe pole.
 
Operation nyingi zinazofanyika gov hospitals wagonjwa huwa wanapona kwa MIRACLES tu!
Ziko chini kabisa ya kiwango kwa kutoa huduma kama hizi kutokana na uhaba wa vifaa na miundo mbinu!
 
Back
Top Bottom