Msiba wa Dr. Justine Katunzi: Chuo Kikuu Cha Dar e salaam: Former Faculty of Commerce now UDBS

Msiba wa Dr. Justine Katunzi: Chuo Kikuu Cha Dar e salaam: Former Faculty of Commerce now UDBS

Benno

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2009
Posts
332
Reaction score
51
Kwa Ndugu jamaa na wanafunzi wote walipowahi kufundishwa na Dr. Katunzi, Mwalimu maarufu kwa somo la Organisation Behaviour- OB


Tunasikitika kuwajulisha msiba wa Dr. Katunzi uliotokea jana jioni wakati akiwa
darasani anafundisha.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake Kimara Stopover karibu na kwa
Kapinga.
Ndugu wanategemea kusafirisha mwili wa marehemu kwa mazishi huko Geita, Busanda
kesho Jumamosi tarehe 2/4/2011.





Taarifa zaidi zitapatikana ikiwemo, muda na saa ya kuaga mwili wa marehemu tayari kwa kusafirisha hapo kesho

Benno, Mwanafunzi
 
Kuaga mwili ni saa ngapi? Nilipenda ucheshi wake. Mungu ailaze roho yake mahali pema.
 
Rip dk
hope ukuwabania watu degree zao maana pale loh!!kama ujapasuliwa kati na mola shida tupu..na wengine zetu mpaka 75 ujaribu kuomba tena uje na cv ndfuuuu
 
Back
Top Bottom