Hizi ni akili za ombaomba! Tanzania kuna maelfu ya wastaafu wa kila fani. Kwanini unadhani wasanii pekee ndiyo wenye haki ya kusaidiwa? Tena wako wengine wengi ambao kipato chao hakikuwa kikubwa. Jukumu la kuandaa maisha baada ya kustaafu la mtu binafsi na si kutegemea kuomba.Watanzania mna hasira! Hahaha..
Okay nawatoa kwenye lawama, nabakisha ya JK na BASATA..
Kama mngenisoma vizuri, mngeelewa mantiki yangu.
Kikwete hata asingempa trekta, kwa nafasi yake bado alikuwa anao uwezo wa kuagiza mamlaka za chini yake ziangalie namna ya kumnufaisha au kuwanufaisha wasanii na kazi zao..
Hii mikataba mnaitaja taja tu lakini wasanii wanapigwa kinoma na hawana ubavu wa kujitetea. Mamlaka zina nguvu ya kuhakikisha hawaonewi!
Hili ni dongo kwa mamlaka. Msome katika urari huo!
Mkuu unajua hata mimi hili swala naliwazaga sana..hii nchi yetu inabidi watu wachache wenye elimu au niseme IQ na exposure fulani ndo wapige kura..maana hii nchi ujinga ndo unaotusumbuaKuna baadhi ya watu nikisoma mawazo yao huwa natamani itungwe sheria ya "mpiga kura lazima awe na kiwango fulani cha IQ"...
Bwana we... jamaa huwa wanafikiri wana haki ya kusaidiwa wanapougua au kustaafu. Vijijini kuna maelfu ya wakulima ambao wameingiza fedha nyingi za kigeni kwa kuzalisha mazao kama pamba, kahawa na korosho na wanapougua au kustaafu wanajigharamia sembuse hawa wasanii ambao hawaingizi fedha yoyote sana sana wanaendekeza starehe!Mwishowe Nyie wasanii mtataka mtawazwe pia
Ova
Kuna msanii mmoja wa bendi kongwe kwa sasa ni marehemu alilalamika kwamba kazi ya muziki haijamwezesha hata kununua baiskeli na kijana mmoja msanii akamnunulia gari ...wakati huo huo aliwahi kuhojiwa na kusema mwaka 1978 alikuwa anapata 3000 kwa mwezi ambayo ilikuwa hela ya kufanya uendeshe maisha kama wazee wetu walivyojikongoja mpaka leo hii tupo kwenye key board ...lakini mwisho wa siku na sie wananchi tunaingia kwenye mkumbo wakipata matatizo tunalia nao wakati wote ni walala hoi tuMimi Ndio Nashanga "Ameondoka" Uchumi Wake Upo Chin Sanaaa Wkat Kaanza Sanaa Miaka Ming Nyumaa...Au Ndio Namna Kila Mtu Anavyozichanga Karata Zake?
Hivi pesa yote aliyokuwa anapata kwenye uigizaji na matangazo alihifadhi wapi mpaka waombe pesa ya kununua tractor ambapo ni kati ya 35 to 50m? Huyu mzee alikuwa sawa na wasanii wengine waliokuwa masikini huku wakati wa uhai wao walikuwa bata tu Hivi kima cha chini cha mshahara aliyajiriwa unaufahamu? Kima cha chini mshahara cha mwalimu unaufahamu? Wengine kwa mwaka mzima hata mshahara wa 4m hapati wakati kazi za sana hata upunjwe vipi hukosi mil 10 kwa mwaka. Yaani hata leo hii ungesema tuchangie mazishi ni udhalilishaji kwa jamii. Pengine ulaumu serikali kwa kuwa na taasisi mbovu za kuratibu wasanii. Ila wenye akili na Mipango mzuri wanatoka vizuri tu. Hivyo asilaumiwe Kikwete wala Serikali ila walaumiwe wasanii wasiokuwa na Mipango madhubuti ya mapato yao.Taifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.
Pole sana kwa waliofikiwa na msiba
Kuna watanzania walikuwa wanatamani nao wapate kazi za matangazo ya biashara alizokuwa anazifanya Mzee Majuto akiwa na Makampuni ya Azam e.t.c lakini hawakuwai kuzipata..Maana yangu ni kwamba kuna watanzania ambao hawajui kama wataweza kumaliza siku hata kwa kupata mlo mmoja wao hawakuwahi kuomba hata jembe kwa JK..iweje yeye na vipaji vyake vyoote achilia mbali pesa alokuwa anaingiza..Muache mzee wa watu apumzike mada nyingine kama mimi ningekuwa 'admin' nazifutilia mbali tena kwa onyo kali...'bullshit' umeandika kaka...Taifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.
Umeona eh? Sasa kila mtu akimwomba JK trekta, afu akampatia kila mtu inamaana Tanzania hakutakuwa na msiba tena?Watanzania kwa lawama hamjambo. Mwacheni mzee wa watu apumzike kwa amani
Jamaa lazima ana PhD ya kubangua koroshoUmekurupuka
Ukisikia lawama ndio hizi.Taifa lipo msibani!
Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!
Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.
Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.
Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.
Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.
Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?
Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.
Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..
Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.
Rest in Peace King Majuto.
NakaziaYule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.
Kaingia mikataba.
Kafanya matangazo.
Kalamba deals na Al Riyami.
Kaonyeshwa Channel 10.
VHS na DVDs zimeuzwa.
Steps walikua naye.
Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.
Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?
Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
Fungua uzi tutachangia, huu usiuharibu, tuachie tuhangake na mleta uziCcm haina msaada wowote kwa wasanii zaidi ya kuwatumia kipindi cha kampeni
Mtoa sredi Kwanini hakumnunulia yeye?Watanzania kwa lawama hamjambo. Mwacheni mzee wa watu apumzike kwa amani