Msiba wa Lowassa: Ney wa Mitego imekuaje hajarudi jukwaani kuimba na wenzake?

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
862
Reaction score
1,430
Poleni kwa msiba.

Naangalia shughuli ya msiba wa Lowassa, katika hizi nyimbo. Kundi ambalo Ney yupo liianza kuimba mara ya kwanza, ilipofika kipande cha Ney na yeye akiwepo wimbo ukasto-pishwa wakatoka Jukwaani.

Wamekuja mara ya pili kipande chake kimepigwa ila Ney wa mitego hayupo jukwaani.

RIP Mzee wetu
 
Ney itakuwa alimaind kuzimiwa maiki kaona isiwe shida kaimbeni wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…