Msiba wa uchumi Uganda mbele Tanzania

a.k.a_Mimi

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
292
Reaction score
113
Balaa la ongezeko la bei na kushuka kwa thamani ya fedha dhidi ya dola ni msiba wa afrika mashariki....inaonekana tunafuata nyayo za Zimbabwe....tulihoji inakuwaje tulipoletewa sarafu ya 500. Jirani zetu wanatumia laki moja ya noti na wana mpango wa kuongeza zaidi ya hapo
 

Attachments

  • 1442190105947.jpg
    22.3 KB · Views: 623
mungu ibariki Tanzania tupate viongozi na wananchi waadilifu
 
Watu wanaobeza TZ ni wale ambao hawajui nini kinajiri nchi zingine za Afrika
 
HIIOO NI FAKE mkuuu...Bank of Ug ime confirm kua ni hoax...sio kweli
 
Uongo kazi.
 
Tanzania ina abundant natural resource na population kubwa zaidi ya nchi zote za E.Africa.unajilinganishaje na nchi unayoizidi natural resource mara 100 zaidi.
 
unapofanya mlinganisho linganisha haya: Uganda ina kilomita za mraba ngapi za bahari, Ina mlima kilimanjaro, ina mbuga za wanyama za asili ngapi,ina maziwa mangapi, ina ardhi inayofaa kwa kilimo kilomita za mraba ngapi, ina bandari ngapi, ina mito mikubwa mingapi, inachimba madini aina ngapi na migodi mingapi, ina gesi, idadi ya mifugo(ng'ombe) nk
 
wajinga ndio waliwao,photoshop hiyo ata bank ya uganda ilikana pia ni vizuri mkajilinganisha na nchi zilizoendelea ili muige mfano wao mpige hatua sio kujifananisha na kabwela wenzako
 
jipine wenye uwezo, unawapita Uganda, somaria, burundi, sudan kusini na sababu wao hawana vyanzo vingi vya mapoto kama ccm,

we are heading the same way. look what Kenya is doing to rescue its currency! Beno kimya! Kikwete is only traveling abroad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…