Poleni sana wafiwa na Mola awape nguvu na faraja katika kipindi hiki.
Mleta habari: Msiba uko wapi? inawezekana ni mtu tunamjua (marehemu) in one way or another, tukaenda kuhani msiba..if and when possible.
Pole sana WoS. Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu cha maombelezo.
Masanja ukiishamjua baba yake itabidi WoS abadili jina hapa kijiji tena, maana WoS itakuwa haina maana tena.
Issue ya anonymity hapa JF inakuwa ngumu kupata habari zaidi maana tungeliweza hata piga simu ama unaweza kukuta ni mtu tunayejua na kufahamiana!