sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
Jamani tunapo wasindikiza hawa ndugu zetu kupumzika mahali walijichagulia tutumie ukweli siku zetu ziongezeke.
Marehemu kafa sawa na historia yake haijapishana sana na ya hatia na kitutu tofauti ni experiance.
Mkienda kwa Msiba Mjiulize na mtafakari......
stroke ya siku mbili inakondesha ?
presha ya kupanda na kushuka inapandisha mabega?
kifua kinafanya mtu awe mweusi?
kama ukimwi unauwaga nani alisha wai kufa kwenye msiba waka tangaza?
Marehemu kafa sawa na historia yake haijapishana sana na ya hatia na kitutu tofauti ni experiance.
Mkienda kwa Msiba Mjiulize na mtafakari......
stroke ya siku mbili inakondesha ?
presha ya kupanda na kushuka inapandisha mabega?
kifua kinafanya mtu awe mweusi?
kama ukimwi unauwaga nani alisha wai kufa kwenye msiba waka tangaza?