Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Watu wengi huficha wakaako mpaka kifo kikiwaumbua. Dereva wa ofisini kwetu alifiwa na mke na tulipofika home kwake wote tulishikwa na butwaa....hekalu kaka!
Hivi, wote wanaokuja msibani unadhani wana mahusiano na wewe?
Hivi unadhani kinachotupeleka msibani ni marehemu tu?
Wakati mwingine tunakuja kuwasapoti waliobaki ambao tuko karibu nao.
Mfano, mfanyakazi mwenzangu kafiwa baba, najua anapoishi mfanyakazi huyo ila sijui anapoishi baba yake.
Kwa hiyo nisiende kumsapoti mfanyakazi mwenzangu sababu sijui anapoishi baba yake?
Think Baba Enock Think.
Hata marehemu anaweza kuwa kahamia makao mapya tofauti na nilikokujua.
Watu wengi huficha wakaako mpaka kifo kikiwaumbua. Dereva wa ofisini kwetu alifiwa na mke na tulipofika home kwake wote tulishikwa na butwaa....hekalu kaka!
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vinavyoelekeza wapi palipo na msiba...
Msiba unatokea sehemu fulani na waliofiwa wanachukua jitihada za kuweka "vibao vya matangazo" vinavyoelekeza ni wapi ulipo msiba...
"MSIBANI KWA XYZ.."
Hivi kama hujawahi kufika kwangu nikiwa hai kwanini ufike nyumbani kwangu nikiwa chumba cha kuhifadhia maiti?
Labda ni matokeo ya maendeleo... Labda ni maendeleo yenyewe...
Kongosho umesema vema sana...anaweza kuwa ni muumini mwenzio ambaye hamjawahi kuwa karibu
Mfanya kazi mwenzio ambae hakuwa karibu na wewe imagine ofisi iwe na wafanyakazi more than 200 si rahisi kujua kila mmoja anakaa wapi..NK NK
Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
@ Kongosho
Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
@ Kongosho
Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
@ Kongosho
Hawa unaokwenda kuwapa sapoti hawawezi kukuelekeza wapi msiba ulipo? I think I'm missing something somewhere...!
Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...
Kwahiyo mabango ya matangazo ya nini? Unakwenda msibani kwa mfanyakazi mwenzio ambaye kwa vyovyote vile anafahamiana na mfanyakazi mwingine na mwingine... The bottom line ni lazima kutakuwa na mfanyakazi anayefahamu nyumbani kwa huyo aliyefikwa na mauti au aliyepotelewa na ndugu...