Msichana akitongoza mvulana kwani kuna ubaya gani ?

Msichana akitongoza mvulana kwani kuna ubaya gani ?

KakaNanii

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2008
Posts
325
Reaction score
52
Eti jamani ,

msichana akitongoza mvulana kwani kuna ubaya gani ?
 

Attachments

  • WACHUMBA BOMBA.JPG
    WACHUMBA BOMBA.JPG
    71.4 KB · Views: 75
Every one are free to express his/her self
 
mbona wanatongoza au bado hujaona
 
Ila wanaoweza kufanya hivyo are counted...siyo kitu rahisi
 
Mbona enzi za wavulana kutongoza zilishakwisha siku nyingi?
 
Yan wanawake wanatongoza tena sana yan mwanaume pale yan unafanya finishing 2 unafunga kwa kisigino.
 
Mbona tumetongozwa mara nyingi tu na hakuna kilichobadilika?
Angalizo: Wanawake akikataliwa huwa wanaumia saaaaana! Ndo maana wengi wao hawapendi kuton&oza. Uwe mwangalifu sana kabla ya kumtolea nje.

 
tena mi huwa wanashia kuniniliwa hadi kwa kameruni halafu nduki mbaya asinizoee..
 
kwa sasa hilo ni jambo la kawaida-hakuna kunyamaziana
 
Back
Top Bottom