M nlikua nashida naye cna ungewka contact zke,kapicha alyopga cku za karbun,na chet cha kuzaliwa coz cunajua maduu weng wanachit miaka?ili nithaminishe,bt kaz kashapata mpaka hapo
mi nko arusha,nataka housegirl ila tatizo nyumba yangu inanitosha mi na mamaa tu,je atakuwa tayari kulala sebureni?kama ataweza basi tuma namba kwa pm,kila kitu atapata kama mwanafamilia. pia sio mpaka awe uyo,ata wa arusha wanaweza kupm tusaidiane maisha,sisi sote ni ndugu!
HGs wa iringa balaa, Usiku wanatoweka vyumban! Jaman nowdays hawa watu wameingilia na shetwan. Nimekata tamaa nao!. Glory be to God watoto wangu wazima.