Msichana kuwapa Ukimwi watu kwa makusudi

Alikuwa gang raped kwa sababu ambazo hajaandika hapa. Asisingizie kutreat men equal bila kutoa sababu za kubakwa na kikundi pumbavu.
 
Ukiingiza upepo hapo umedanjii..
Ukisikia jambo kama hili tuliza akili wala usiingize wenge..ukienda kupima huna kitu.

Nilishapita na kitoto kizuri kumbe ni vile vya mama salma..aseee nilitulia zangu nikaja kupima km mara 9 hivi..hadi south africa nilipima - basi maisha yakaendelea na kuna jamaa ameoa kile kimanzi na wana watoto
 
Kumbe mwenye ukimwi mwenyewe yuko kenya uko sijui chuo cha TUM sasa tuko bongo kwahyo haututishi, tunakula tunavotaki

Kwanza huna ukimwi ww, ivi mwenye ukimwi unamjua ww

#EMBU TOA HIYO WANAUME TUICHANGAMKIE DUNIA YENYEWE FUPI HII
 
Mliosoma Cuba hadi hapa (kwenye para ya mwisho) mtakuwa mmeelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…