Msichana mwenye sifa hizi anahitajika

NatGeo18

Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
10
Reaction score
7
Habarini wanajukwaa

Mtu mzima mwanaume mwenye makamo ya miaka 50+ anahitaji msichana umri 21-27 kwa mahusiano ya kudumu.

Vigezo vya muhimu uwe Dar es Salaam, elimu ya kidato cha 4 kushuka chini. Uwe mkristo, usiwe na mtoto au kama unaye 1 ni sawa, usiwe unakunywa pombe, usiwe bonge (umbo lisilovutia) kama mnene muonekano uwe mzuri. Kwa maelezo zaidi nicheki PM.

Muhimu uwe tayari kwa mahusiano ya kudumu. Usiwe mwenye ajira. Kama wewe au mtu umjuaye karibia PM. Tabia njema ni zingatio.
 
kuna vigezo hapo vimenikosesha bahati๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
aisee what an opportunity!!


Vigezo Sasa yaani vyote 0.
 
50+ kwa 21 mkuu ujandae kufa kwa presha unaoaje katoto damu bado inachemka miaka 10 mbele una kisukari na presha ,si utakaziwa hadi uone dunia chungu?

โ˜†Magnum Opusโ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ