ushauri utategemea umri wako mhandisi. angalia usipewe gearbox ya lorry kuendeshea bajaj,itapaa angani ushtakiwe kwa kuendesha bajaj-eropleni bila kibali!
Kijana, ulishawahi kusikia kauli "Kushika pembe" au "kushikishwa pembe"?
Pole sana.
nahitaji english course wajameni...
Ahahahaaah!!! Huenda siku mojamoja akakamua....Kijana, ulishawahi kusikia kauli "Kushika pembe" au "kushikishwa pembe"?Pole sana.
nahitaji english course wajameni...
Sangara...!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
njoo nkufundishe, umezidi sasa...kilio chako kimenifikia.
Mkuu naomba uwe makini kwa kutumia lugha hii ya Malkia Elizabeth,kama inakusumbua naomba siku nyingine utumie tu lugha yetu adhimu ya kiswahili...mbona tamu tu?!Wewe ni injinia kweli au umeamua tu kujiita hivyo??Kiukweli hiki kiingereza mmh!Nimejikuta kumpenda msichana mmoja her name is .........., i aproach her but she said she love's somebody else, but that somebody doesnt loves her back as she do.... due to that she decided to give me the chance to make her forget his boyfriend and to make her love me........ jf members i need your help how gonna i make her love me in 14 dayz...help plzz?
Engineer, tahadhari, ipo tofauti kubwa sana kati ya kuongea wakati unaandika na kuandika huku unaongea, wasiliana na jamaa hapo juu anayesema anatoa kozi ya kiinglishNimejikuta kumpenda msichana mmoja her name is .........., i aproach her but she said she love's somebody else, but that somebody doesnt loves her back as she do.... due to that she decided to give me the chance to make her forget his boyfriend and to make her love me........ jf members i need your help how gonna i make her love me in 14 dayz...help plzz?
watoto wanaobalehe bwana ahhhhhh, balehe zinawahangaisha sana
Umeona eeh?! Jamaa kapewa swaga za ki- tamthilia hadi kidhungu chake kimeota mbawa....nahitaji english course wajameni...